PUMA ENERGY TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO KUKUZA USHIRIKISHWAJI WATANZANIA SEKTA YA MADINI.

::::::::: Mwanza, Juni 18, 2025:  Puma Energy Tanzania imethibitisha dhamira yake ya kuiunga mkono sekta ya madini nchini kwa kushiriki katika kongamano la kitaifa la siku tatu lililoandaliwa na Wizara ya Madini. Kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa Malaika Beach Resort, jijini Mwanza na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka serikalini, sekta binafsi na mashirika ya kiraia,…

Read More

WASIRA AZURU KABURI LA HAYATI DK.JOHN MAGUFULI

Na Mwandishi Wetu,Chato MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amezuru kaburi la hayati Rais Mstaafu Dk.John Magufuli, kama moja ya ishara ya kutambua mchango wa kiongozi huyo katika kuchochea maendeleo ya taifa wakati wa uongozi wake.Wasira ametembelea nyumba ya kudumu ya hayati Rais Magufuli leo Juni 18,2025  iliyoko Wilaya ya Chato,…

Read More

Mambo 10 ya kuzingatia vijana wanaojiunga JKT

Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele ametaja mambo 10 ambayo vijana waliojiunga na mafunzo kwa mujibu wa sheria, Operesheni Nishati Safi, wanayopaswa kuzingatia kwa kipindi chote cha mafunzo. Mambo hayo ni kujiepusha na utovu wa nidhamu, wizi, utoro, ugomvi, uhusiano wa kimapenzi, siasa, uvutaji wa bangi, dawa za kulevya,…

Read More

WAZABUNI WA DODOMA WAPIGWA MSASA MATUMIZI YA MODULI

Na Mwandishi wetu, Dodoma Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wazabuni kuhusu matumizi ya Moduli ya kuwasilisha na kushughulikia malalamiko na rufaa kwa njia ya kielektroniki katika mfumo (NeST).  Akifungua mafunzo ya siku moja tarehe 18 Juni, 2025 kwa wazabuni wa Mkoa wa Dodoma na mikoa Jirani, Jijini…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR DKt. MWINYI AKABIDHIWA TUZO YA MAALUMU YA UHAMASISHAJI BORA WA UWEKEZAJI ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalumu ya kuwa Muhamasishaji Bora wa Sekta ya Uwekezaji Zanzibar,akikabidiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe. Shariff Ali Shariff (kushoto kwa Rais) wakati wa hafla ya chakula maalumu na utoaji wa Tuzo kwa Wawekezaji Zanzibar,iliyoandaliwa…

Read More

TADB na TWCC Waingia Mkataba Kuinua Wanawake na Vijana

Walio kaa kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bi. Adolphina William na Mkurugenzi Mtendaji wa  Chama cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC), Dkt. Mwajuma Hamza wakisaini mkataba wa makubaliano unaolenga kuchochea maendeleo ya sekta ya kilimo jumuishi kwa kuhakikisha wanawake na vijana wanapata fursa za kiuchumi, elimu, mikopo na msaada…

Read More

Tanzania yajitosa kusaka suluhu tahadhari ya Marekani

Dar es Saalam. Serikali ya Tanzania imeanza kufanya mashauriano na Marekani ili kufanyia kazi maeneo yanayihitaji kuboreshwa ili raia wake wasizuiwe kuingia Marekani. Uamuzi huo unatoana na Serikali ya Marekani kutoa orodha ya baadhi ya nchi za 36 baadhi yake kutoka barani Afrika ikiwemo Tanzania ambazo raia wake wanaweza kukutana na marufuku kuingia nchini humo….

Read More