UN inalaani mgomo mbaya wa Urusi kwenye mji mkuu wa Kiukreni kama milipuko ya raia – maswala ya ulimwengu

Kulingana Kwa Ujumbe wa Ufuatiliaji wa Haki za Binadamu huko UN huko Ukraine (HRMMU), zaidi ya maeneo 30 katika wilaya saba za Kyiv zilipigwa katika kile ilichoelezea kama “shambulio kuu zaidi” kwenye mji mkuu wa Kiukreni katika karibu mwaka mmoja. “Shambulio la jana usiku linaonyesha tishio kubwa linalotokana na mbinu ya kupeleka makombora na idadi…

Read More

MADINI YAMEVUKA LENGO LA SERA KABLA YA MUDA

:::::::: Waziri wa Madini Anton Mavunde amesema kuwa sekta ya madini Nchini imepiga hatua kubwa ya kihistoria kwa kufikia mchango wa asilimia 10.1 katika pato la taifa wa mwaka 2024 ikiwa nimwaka mmoja kabla la lengo la asilimia kumi lililowekwa kwenye sera ya madini yam waka 2009 Mavunde ameyasema hayo katika ufunguzi wa jukwaa la…

Read More

MEATU MTAENDELEA KUPATA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO IKIWEMO NISHATI- DKT.SAMIA

::::::::: Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani amesema Serikali imeendelea kupeleka maendeleo katika Wilaya ya Meatu ikiwemo ukamilishaji wa usambazaji umeme katika Vijiji vyote 109 vya Wilaya hiyo. Dkt. Samia ameyasema hayo Juni 17, 2025 Wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu akiwa kwenye ziara ya kikazi. “Kama tulivyoahidi, hatujaishia hapo, kazi ya usambazaji umeme…

Read More

Mgogoro wa Israel, Iran na hesabu za Marekani

Vita au mgogoro wa Iran na Israel, kama unavyoitwa “Iran – Israel proxy conflict au Iran – Israel Cold War”, zipo tafsiri mbalimbali zinatolewa. Vinatazamwa vyanzo vya karibu, inatazamwa historia. Binafsi, namtazama Rais wa Marekani, Donald Trump. Usiku wa Alhamisi (Juni 12, 2025), kuamkia Juni 13 (Ijumaa), Israel iliishambulia Iran, shabaha ikawa maeneo ya kijeshi…

Read More

Wasaka ubunge majimbo ya Mwanza wakoleza joto

Mwanza. Haikuwa na haitakuwa kazi rahisi hata kidogo! Huo ndio usemi unaofaa kuelezea hali ya kisiasa, hasa nafasi za ubunge katika majimbo ya Nyamagana, Ilemela, Sengerema na Buchosa ambayo ni sehemu ya majimbo manane ya uchaguzi mkoani Mwanza. Ugumu wa uchaguzi mwaka huu unaanzia kwenye mchakato wa uteuzi ndani ya vyama kutokana na mwamko wa…

Read More

WASIRA:KAMA HUJUI NCHI ILIKOTOKA USIBEZE MAENDELEO YALIYOFANYIKA

*Asema wanaosema hakuna kilichofanyika hawana tofauti na Kasuku Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Michuzi Blog MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema tangu kupata uhuru Tanzania imepata maendeleo makubwa na wanaosema hakuna kilichofanyika ni vema wakakaa kimya, wasiwe na tabia ya kasuku kukariri wasiyoyajua. Wasira ameyasema hayo leo Juni 17, 2025 alipokuwa akizingumza…

Read More

Mgawanyo majimbo ya Zanzibar ‘ngumu kumeza’

Miongoni mwa mambo muhimu ambayo kila taifa linapaswa kuyatekeleza kwa uwazi, uadilifu na bila kuacha maswali ni uchaguzi mkuu wa nchi. Nasema hivyo hasa tukitazama historia za uchaguzi wa nchi nyingi za Afrika, Tanzania ikiwa miongoni, mara nyingi kipindi hicho hugeuka kuwa chanzo cha migogoro. Ikitafakariwa kwa kina, mingi ya migogoro hiyo ingeweza kuepukika kama…

Read More

Chuya haikosi kwenye pishi ya mchele

Mara nyingi tumeona wakulima wadanganyifu wakiloweka mtama kabla ya kuupeleka kwenye mzani. Wengine wamekuwa wakitia mchanga kwenye mazao ionekane kama vile mchanga uliingia bahati mbaya wakati wa kuvuna. Lakini lengo lao ni kuongeza uzani na kupata faida kubwa kutoka kwa mnunuzi. Huu ni wizi kama wizi mwingine, na mhusika anafaa kuchukuliwa hatua anazochukuliwa mwizi. …

Read More