Tucasa yataja mwarobaini ucheleweshaji malipo ya makandarasi

Dar es Salaam. Ili kukabiliana na changamoto ya ucheleweshaji wa malipo ya makandarasi, Chama cha Umoja wa Makandarasi na Watoa Huduma Shirikishi Tanzania (Tucasa) kimependekeza kuanzishwa kwa sheria ya malipo (Security of Payment Act). Pia wamependekeza taasisi za ununuzi kutoa dhamana ya malipo (Payment Guarantee) ili kuondoa changamoto ya ucheleweshaji wa malipo. Hayo yamebainishwa leo…

Read More

Samia ataka Kwala imalize foleni Dar

Dar es Salaam. Uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala, iliyoko Kibaha mkoani Pwani, unatarajiwa kuwa mkombozi mkubwa katika kupunguza msongamano wa malori barabarani, kupunguza muda wa safari za usafirishaji wa mizigo na kuongeza ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam, hatua inayotarajiwa kuchochea kwa kasi ukuaji wa uchumi nchini. Bandari hiyo mpya, yenye ukubwa wa…

Read More