TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA

NA EMMANUEL MBATILO TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kaskazini.  Kampasi hiyo inatajwa kuwa chachu ya kuongeza udahili wa wanafunzi kutokana na ongezeko la wahitimu katika maeneo hayo. Akizungumza katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba),…

Read More

Kocha Yanga atua Ismaily ya Misri

BAADA ya kuipa Yanga mataji matatu aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi atambulishwa katika klabu ya Ismaily ya Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja. Hamdi alijiunga na Yanga katikati ya msimu ulippita  akitokea Singida Black Stars akichukua mikoba ya Sead Ramovic na kuiongoza timu hiyo kwenye mechi 12 za ligi. Kocha huyo anajiunga na Ismaily…

Read More

SEVERE AREJESHA FOMU YA UBUNGE ARUMERU MAGHARIBI

Na Pamela Mollel, Arumeru Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arumeru, Noel Severe, amerejesha rasmi fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo, Julai 2, 2025. Akizungumza mara baada ya kurejesha fomu, Severe alisema: “Namtegemea Mungu, tusubiri maamuzi na maelekezo ya chama, maana yote yanafanywa na Chama Cha Mapinduzi.”…

Read More

JOTO LA UCHAGUZI LAPANDA ARUMERU MKOANI ARUSHA

Na Pamela Mollel, Arumeru Joto la uchaguzi katika Jimbo la Arumeru Magharibi, mkoani Arusha, limeendelea kupanda huku wagombea wakijitokeza kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uteuzi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Miongoni mwa waliorejesha fomu ni Elias Lukumay, kada maarufu wa chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA), aliyefanya hivyo…

Read More

TET YASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) inashiriki kikamilifu katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Julai 2, 2025 kwenye Maonesho hayo, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano TET,…

Read More

EWURA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONESHO SABASABA

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu majukumu yake na namna ya kushiriki katika ufuatiliaji wa huduma za nishati na maji nchini, kupitia ushiriki wake kwenye Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere. EWURA…

Read More