Askofu Kinyaiya atia neno kupumzika Dk Mpango

Dodoma. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dodoma, Beatus Kinyaiya amesema alichofanya Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango kuamua kupumzika si cha kawaida kwa kuwa wengine wanang’ang’ania nafasi za uongozi. Januari 18, 2025 wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan alitangaza kukubali ombi la Dk Mpango kupumzika. Katika mkutano huo,…

Read More

Samia: Tunataka amani na utulivu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema sifa njema kuhusu utulivu na amani iliyopo Tanzania iendelezwe katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Amesema hayo leo, Julai 5, 2025, alipozindua hema (jengo la ibada) la Kanisa la Arise and Shine Tanzania linaloongozwa na Mtume Boniface Mwamposa, Kawe jijini Dar es Salaam, akigusia sifa hiyo…

Read More

Kauli Bunge sio chombo cha machawa yazua majibizano

Bariadi. Mnyukano wa hoja umeibuka, baada ya kauli ya Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe aliyetaka bunge lisidogoshwe kwa kuonekana ni chombo ambacho hata machawa na wachekeshaji wanapaswa kwenda kukitumikia. Kauli hiyo imemuibua Mchekeshaji, Clayton Chipando maarufu Babalevo aliyesema Zitto ametoa kauli hiyo kwa sababu amemwona amechukua fomu ya kuwania ubunge Kigoma Mjini kwa…

Read More

Profesa Mkumbo: Tiseza italeta ufanisi zaidi

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuanzishwa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (Tiseza) kunalenga kuwaondolea wawekezaji usumbufu. Amesema sasa wawekezaji watakuwa na uwezo wa kupata huduma katika eneo moja tofauti na zamani walipokuwa wakienda ofisi mbili. Profesa Kitila amesema hayo leo Jumamosi…

Read More

Samia kuhutubia maadhimisho ya uhuru Comoro

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Comoro kwa mwaliko wa Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, Azali Assoumani. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Julai 5, 2025 na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Shaaban Kissu imesema Rais Samia atasafiri kesho Jumapili Julai 6, 2025….

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Enock umekufa kifo cha kikatili, damu yako itumike kuimarisha utawala wa sheria

Mauaji ya kikatili ya kijana Enock Thomas Mhangwa wa mkoani Geita, yanaumiza, yanahuzunisha, yanaudhi na yanatia hasira, lakini ukweli tumefika hapo kama Taifa kwa sababu ya baadhi yetu kutojali wala kuheshimu misingi ya utawala wa sheria. Yaani tumefikia mahali watu wanaua kijana mdogo kama Enock asiye na hatia na wanapata ujasiri hadi wa kujirekodi hatua…

Read More

Watanzania wakumbushwa kusaidiana | Mwananchi

Dodoma. Watanzania wenye sifa ya kupiga kura wameitwa kujitokeza siku ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, ikielezwa kufanya hivyo ni njia ya kupata viongozi wenye kibali cha Mungu. Wito huo umetolewa leo Jumamosi Julai 5, 2025 na Nabii Mkuu, Dk Moses GeorDavie muda mfupi baada ya kutunukiwa shahada ya udaktari wa heshima kwa masuala…

Read More

Tira yabeba ajenda ya bima ya afya kwa wote

Dar es Salaam. Wakati kampuni 40 chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (Tira) zikishiriki Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) mkazo mkubwa umewekwa kuhamasisha umma kuhusu Bima ya Afya kwa Wote (UHI). Vipindi vya elimu vinafanyika kila siku kwenye maonyesho hayo ili kuwasaidia wananchi kuelewa…

Read More