Kilolo. Kwa sauti ya majonzi huku machozi yakimtoka na kushindwa kujizuia, Redigunda Kimaro ameeleza namna anavyoishi kwa tabu na mwanawe Delvin Magova (wiki mbili) mwenye
Day: July 11, 2025

Baada ya kocha wa Twiga Stars Bakari Shime kusema kuwa walipoteza mchezo uliopita wa Kombe la Mataifa Afrika kwa Wanawake (WAFCON) kutokana na kuwakosa baadhi

LICHA ya kuipambania Dodoma Jiji kujihakikishia nafasi ya kucheza ligi msimu ujao 2025/26, Kocha Mecky Maxime hatakuwa sehemu ya benchi la ufundi la timu hiyo

Licha ya Simba kushindwa kufikia malengo ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa nne mfululizo timu mbalimbali zinaendelea kupishana kuwania saini za

Catherine Russell alisema alishangazwa na mauaji yaliyoripotiwa ya Wapalestina 15, pamoja na watoto tisa na wanawake wanne, ambao walikuwa wakingojea kwenye mstari wa virutubisho vya

Tanzania imezindua rasmi Mfuko wa iDollar, ambao ni mfuko wa kwanza wa soko la pesa nchini unaotumia Dola za Kimarekani (USD). Mfuko huu unawawezesha wawekezaji

KIKOSI cha JKU Princess, kimeibuka mabingwa wa Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (ZWPL) baada ya kuifunga Sauti Sisters mabao 2-0. Wakati JKU Princess ikiwa bingwa

Dar es Salaam, Tanzania – Mwanaharakati maarufu wa kimataifa wa haki ya elimu, Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel na Mjumbe Maalum wa Umoja

AZAM FC imeanza mazungumzo na Al Hilal ya Sudan ili kupata saini ya beki wa kulia, mkongomani Steven Ebuela, ambaye yuko nchini kwa takriban wiki

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam leo Ijumaa Julai 11, 2025 imepanga kutoa uamuzi wa maombi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu