Simba yafunga hesabu kwa Conte

Simba imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo wa CS Sfaxien, Balla Moussa Conte leo Ijumaa, Julai 11, 2025. Kiungo huyo wa ulinzi raia wa Guinea mwenye umri wa miaka 21, alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja na Sfaxien unaofikia tamati 2026 ambao Simba imeuvunja na kumnasa mchezaji huyo. Conte amekuwa miongoni mwa wachezaji tegemeo wa Sfaxien…

Read More

Tanzania, China zabainisha mikakati kuimarisha elimu ya ufundi stadi

Dar es Salaam. Tanzania na China zimeeleza mikakati ya kuendelea kuimarisha ushirikiano baina yao katika maeneo matatu ikiwemo ubadilishanaji wa wakufunzi, wanafunzi na kuimarisha elimu ya kidigitali. Katika elimu ya kidigitali, China imesema itashirikiana na Tanzania kuandaa vitabu vya kidigitali vyenye lugha mbalimbali pamoja na kuhamasisha matumizi ya teknolojia hizo. Eneo la tatu la ushirikiano…

Read More

Magonjwa haya yanasumbua Dodoma | Mwananchi

Dodoma. Wakati serikali na wadau wa afya wakiendelea kutoa elimu ya afya kwa wananchi namna ya kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Mkoa wa Dodoma umetwajwa kuwa kinara wa magonjwa matatu ambayo ni macho, magonjwa ya akili na selimundu. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wizara ya afya kwa kushirikiana na Hospitali ya rufaa ya…

Read More

betPawa yaandika historia ya ushindi mkubwa wa aviator Afrika wa Sh2.6 billion kwa raundi ya mchezo mmoja

Kampuni kinara ya michezo ya kubashiri mtandaoni barani Afrika, betPawa, imeitikisa Afrika na kutengeneza historia kufuatia ushindi wa Sh2.6 bilioni (sawa na Dola za Kimarekani milioni 1.1) katika raundi moja kupitia mchezo wa aviator maarufu kwa jina la kindege. Washindi walioshinda fedha hizo wanatoka nchi za Cameroon, Ghana na Zambia.  Haya ni malipo makubwa zaidi…

Read More