Polisi yamshikilia kigogo wa Chadema, wenyewe wasema…

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Tanzania linamshikilia Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Brenda Rupia kwa mahojiano. Hatua ya kuhojiwa kwake, inatokana na kile kilichoelezwa na taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa usiku wa leo Jumamosi, Julai 12, 2025 na Msemaji wa Jeshi hilo kuuwa anatuhumiwa kutoa taarifa za…

Read More

DKT.MPANGO AAGIZA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI KUVITUNZA VIFAA TIBA KWENYE VITUO VYAO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango,akizungumza wakati akifungua  Mkutano wa Mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini  Dodoma leo Julai 12,2025. Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa,akizungumza wakati wa  Mkutano wa Mwaka…

Read More

Watia nia ubunge CCM presha inapanda, inashuka

Dar/Mikoani. Presha inapanda na kushuka kwa watia nia wa ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ndivyo unavyoweza kusema baada ya kamati za siasa za chama hicho kuhitimisha mchakato wa kupendekeza majina ngazi za wilaya na mikoa. Katika ngazi hizo, kamati za siasa zimewajibika kupendekeza majina matatu miongoni mwa watia nia wote wa ubunge,…

Read More

Nandy: Made in Tanzania inatuvutia kuanzisha viwanda

Dar es Salaam. Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga maarufu Nandy, amesema kuzinduliwa rasmi kwa nembo ya Made in Tanzania ni ishara kuwa kama nchi inaweza kufanya vitu vikubwa, ikiwemo uzalishaji wa bidhaa. Nandy ambaye pia ni mfanyabiashara wa bidhaa mbalimbali za ngozi zilizopewa jina la Shushi, kwa sasa anatengeneza bidhaa zake nchi za nje…

Read More

Rose autaka urais kupitia chama cha CUF

Mbeya. Mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), Rose Kahoji amekuwa mwanamke wa tatu nchini kutangaza nia ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kwa hatua hiyo, Kahoji anaungana na Rais wa sasa, Samia Suluhu Hassan wa CCM, ambaye tayari amepitishwa na chama chake kuwania nafasi hiyo. Rais Samia alipitishwa rasmi na Mkutano…

Read More

Kuheshimu rafiki mkubwa na mwaminifu wa ubinadamu – maswala ya ulimwengu

Habari za UN Alitembelea shamba kuashiria kwanza Siku ya Farasi Ulimwenguniiliyoanzishwa mwaka huu na Mkutano Mkuu wa UN. Kwa kuunda siku, Nchi Wanachama zilituma ujumbe wazi: Wanyama wanastahili kutibiwa kwa uangalifu na heshima. Rafiki mwaminifu Kutoka kwa viwanja vya vita vya zamani hadi mipango ya kisasa ya matibabu, farasi wamekuwa upande wa ubinadamu kwa milenia-lakini…

Read More

Richard Huff: Mwanaume mwenye tattoo zaidi ya 240

Dar es Salaam. Methali ya Kiswahili isemayo “Usimhukumu mtu kwa sura yake” ni ya zamani lakini bado ina maana, hasa wakati ambao mwonekano wa mtu hauendani na matarajio ya jamii. Richard Huff (51), ambaye mwili wake umejaa tattoo zaidi ya 240, zikiwemo kadhaa usoni, ni baba wa watoto watano na mume mwenye mapenzi ya dhati….

Read More