Kigoma. Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha, wamewapora na kuwajeruhi baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kutoka Kigoma kwenda jijini Mwanza. Tukio hilo limetokea
Day: July 13, 2025

Dar es Salaam. Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole amemwandikia barua Rais Samia Suluhu Hassan ya kujiuzulu nafasi hiyo kwa sababu ya kile alichoeleza

Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuanza rasmi mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge katika ngazi ya Taifa, kikiwataka wote watakaokosa nafasi kuwa watulivu, waaminifu

Mwanga. Wakati Mkuu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Daniel Mono akipongeza dhamira ya Rais, Samia Suluhu Hassan

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo . akiongea na Wandishi wa Habari leo tarehe 13

KATIKA hatua ya kuibua na kukuza vipaji vya vijana wa Kitanzania, taasisi ya African Youth Empowerment (AYE) imetangaza kuanza rasmi mpango wa kutoa ufadhili wa

Dar es Salaam. Baada ya kukamilika kwa vikao vya wilayani na mikoani, hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM), kinaingia rasmi kwenye wiki ya mtihani na uamuzi

MABOSI wa JKT Tanzania wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na beki wa mkongwe wa KMC, Fred Tangalo ambaye alimaliza mkataba na kikosi hicho msimu

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Fedha, Bi. Fauzia Nombo, akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt.

MSHAMBULIAJI wa Azam FC raia wa Senegal, Alassane Diao amethibitisha hatokuwa sehemu ya kikosi hicho msimu ujao, huku taarifa zikieleza yupo katika mazungumzo ya kujiunga