Twiga Stars yaaga WAFCON ikipoteza 4-1 dhidi ya Ghana

Twiga Stars imeondolewa kwenye mashindano ya WAFCON 2024 yanayoendelea huko Morocco baada ya kupoteza mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Ghana kwa mabao 4-1. Bao la Twiga limefungwa na Stumai Abdallah huku mabao ya Ghana yakifungwa na Pricella Adubea, Alice Kusi, Evelyn Badu na Chantelle Boye. Katika mchezo huo Twiga ilitakiwa kupata…

Read More

MO: Tutasajili kimkakati, fedha zipo

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ amesema  klabu hiyo itarudi kwa nguvu msimu ujao, huku akitangaza maboresho maeneo mbalimbali. MO amesema hayo usiku huu wakati akizungumza kupitia akaunti yake Instagram. Amesema Simba itarejea na nguvu kubwa msimu ujao akiahidi kufanya maboresho kuanzia usajili utakaokuwa wa kimkakati. …

Read More

MO DEWJI: NIMETUMIA BILIONI 87 KWA AJILI YA SIMBA SC

Na Bakari Madjeshi, Michuzi TV Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji (Mo Dewji) amethibitisha kuwa kutoka mwaka 2017 hadi mwaka 2024 ametumia zaidi ya Shilingi Bilioni 80 (Tsh. 87 B) kwenye masuala mbalimbali kwa ajili ya Klabu hiyo. Mohammed amesema hayo kupitia ‘video’ yake aliyoichapisha kwenye mtandao wa ‘Instagram’. Amesema kiasi…

Read More

Mfanyabiashara aliyejinyonga kuzikwa kesho Moshi

Moshi. Mfanyabiashara maarufu katika Jiji la Dodoma na  mjini Moshi, Ronald  Malisa(35) aliyejiua kwa kujinyonga chooni kwake eneo la Msufuni, Msaranga Wilaya ya Moshi kuzikwa kesho nyumbani kwake Msaranga. Julai 10, mwaka huu Malisa, aliripotiwa kujiua kwa kujinyonga kwa kutumia shuka kwenye choo cha nyumba yake eneo la Msufuni, huku Jeshi la Polisi likidai chanzo…

Read More

Kampuni za kimataifa 15 kuwekeza kongani Buzwagi

Dodoma. Serikali imesema kampuni 15 za kimataifa zimeonyesha nia ya kuwekeza katika kongani maalumu la kimataifa la sekta ya madini, ambalo limeanzishwa kwenye eneo ulipokuwa Mgodi wa Buzwagi Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Mbali na hilo, Kampuni ya East African Convoyers Service imeanza uzalishaji katika eneo hilo huku Kampuni ya Kabanga Nickel ikichukua nafasi…

Read More

UJUMBE KUTOKA PPAA WAWASILI KOSOVO KWA ZIARA YA KIKAZI

  Na Mwandishi wetu, Prishtina Ujumbe kutoka Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) ukiongozwa na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Rufani, Jaji Mstaafu Mhe. Awadh Bawazir umewasili Jijini Prishtina nchini Kosovo kwa ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia tarehe 14 – 18 Julai, 2025. Katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Mamlaka ya Rufani ameambatana…

Read More