DODOMA Jiji imeanza kujipanga mapema kwa msimu ujao na sasa imeshanasa saini ya kiungo wa Tabora United, Nelson Munganga aliyekuwa akiwindwa na Namungo ya mkoani
Day: July 14, 2025

WINGA Eliuter Mpepo huenda akaendelea kusalia kwenye ramani ya Ligi Kuu Bara baada ya kuhusishwa na mipango ya kujiunga na kikosi cha Mbeya City, ambacho

Ilizinduliwa mnamo Juni, kampeni ya dijiti ya wiki nane inachukua umaarufu wa kudumu wa wapenzi wa Smurfs kuhamasisha vijana-pamoja na wazazi wao na walezi-kuinua sauti

Dar es Salaam. Wakati biashara ya zaidi ya Sh7.06 bilioni ikifanyika katika maonyesho ya Sabasaba yaliyofikia tamati, Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa maagizo

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Julai 14, 2025 inatarajia kusikiliza maombi ya Chadema ya kumtaka Jaji Hamidu

Dar es Salaam. Rais wa Cameroon, Paul Biya amesema atagombea muhula wa nane wa uongozi katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 12, 2025. Biya mwenye umri wa

Dar es Salaam. Kwenye kaya nyingi za Kitanzania, mtoto asiyependa kula, anayekoroma usiku, anayesumbuliwa na mafua au mafindofindo ‘tonsils’ mara kwa mara au anayelala mdomo

Dar es Salaam. Kesi ya kusababisha madhara mwilini inayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, itatajwa

Simba inapambana kuhakikisha inampata mshambuliaji aliyeachwa na Mamelodi Thabang Sibanyon kama itamuuza staa wake, Steven Mukwala. Hiki ni kipindi cha usajili kwa mastaa wa Ligi

……….. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) kuendeleza juhudi za kutafuta masoko ya nje ili kuongeza mauzo yatakayowezesha nchi