Rudishiwa Hadi TZS 15,000 Ukicheza Win&Go

KUANZIA Julai 1 hadi Julai 30, 2025, Meridianbet imewapa wachezaji wake wa Win&Go dhamana ya kushiriki tena mchezo huo pendwa. Kwa mwezi mzima, ukipoteza Sh. 1,000 ama zaidi kwa siku, kesho Meridianbet itakurudishia 10% ya hasara yako kama Win&Go bonus, hadi kiwango cha juu cha Sh. 15,000 kwa kila siku. Mfano halisi wa namna bonasi hii inavyokua…

Read More

Senegal kuziba nafasi ya Congo Brazzaville mashindano ya CECAFA

Timu ya Taifa ya Senegal itashiriki Mashindano maalum ya CECAFA yatakayo husisha mataifa manne kabla ya mashindano ya CHAN yanayotarajiwa kuchezwa Julai 21-27, 2025 kwenye Uwanja wa Black Rhino, Karatu jijini Arusha. Senegal inachukua nafasi ya Congo Brazaville ambayo imekumbana na changamoto na kushindwa kufanya safari kama ilivyokuwa imepangwa awali. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

Simba yawaita mapema kina Ahoua, Camara

NYOTA wa Simba akiwamo Jean Charles Ahoua, Moussa Camara na wenzao wengine waitwa mapema kambini mwishoni mwa mwezi huu ili kujiandaa na maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026. Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema wachezaji wote wapya na ambao wanatakiwa kuendelea na timu hiyo wote wanatakiwa kurejea mwisho wa mwezi huu. Amesema mpango wao…

Read More

TCB YAAHIDI KUUNGA MKONO DIRA YA MAENDELEO YA 2050 KWA KUIMARISHA HUDUMA ZA KIFEDHA

::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma, huku akieleza malengo makuu ya kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kisasa, jumuishi na wenye ushindani wa kimataifa,Katika hotuba yake, Rais Samia ameeleza kuwa dira hiyo inalenga kufanikisha ongezeko la pato la taifa…

Read More