
Polisi Wachunguza Tukio la Utekaji na Urejeo wa Mwanamke Bahari Beach – Global Publishers
Last updated Jul 18, 2025 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeeleza kuwa limepokea taarifa za kutekwa na kurejeshwa kwa mwanamke aliyejitambulika kwa jina la Christina Hezroni Polepole Kinyangazi, mwenye umri wa miaka 52, mkazi wa Bahari…