MARA YAWEKA HISTORIA SEKTA YA MADINI

:::::::::: Na Ester Maile Dodoma  Katika sekta ya madini, Mkoa wa Mara ni kati ya mikoa yenye utajiri mkubwa wa madini ikiwemo dhahabu, fedha, shaba, chuma, madini ya ujenzi, madini ya viwandani na madini ya vito. Madini ya dhahabu ndio yanayochimbwa kwa kiwango kikubwa ukilinganisha na madini mengine.  Hayo yamebainishwa leo 18 julai 2025 jijini…

Read More

Kapteni Traore aivunja Tume Huru ya Uchaguzi Burkina Faso

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imeivunja rasmi Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (CENI), ikieleza kuwa chombo hicho kimekuwa kikisababisha matumizi mabaya ya fedha za umma na kuruhusu ushawishi wa kigeni katika masuala ya ndani ya nchi hiyo. Uamuzi huo umetangazwa kupitia televisheni ya taifa (RTB), ambapo ilielezwa kuwa majukumu ya tume hiyo yatahamishiwa…

Read More

Si kila kitokacho sikioni ni ugonjwa

Baadhi ya watu hustuka wanapoingiza kijiti chenye kichungi cha pamba, unyoya au nyasi sikuoni na kutoa ute mgando wenye rangi ya kahawia, wakidhani masiko yao ni machafu sana. Ukweli ni kwamba ute huo ni nta ya sikio, si uchafu bali ni kitu kinacholainisha, kusafisha na kulinda eneo la mfereji wa sikio.Nta hiyo ya sikio huwa…

Read More

Mirathi ya mstaafu inapokuwa mtego wa panya…!

Mstaafu wetu amesoma moja ya vifurushi vinavyotolewa na hiki kibubu kinachomtunzia hela zake, ambacho kinadai kuwa ni mojawapo ya mikakati ya kibubu hicho kuboresha maisha ya mstaafu! Anaishia kutabasamu kwa uchungu na kuishia kuchoka kabisa. Kifurushi hicho ni kile kilichosema kuwa, inapofika siku ile mstaafu kutakiwa kwenda mbele za haki kupitia Kinondoni, au Mahezanguu kwa…

Read More

Haya ndio makosa kwa wanaosaka ‘six pack’

Katika harakati za kupata tumbo lenye misuli ya maarufu Kiingereza kwa jina la “six pack”, watu wengi hujikuta wakifanya makosa yanayowapotezea muda, kuwakatisha tamaa au hata kuhatarisha afya zao. Ndoto ya kuwa na tumbo la aina hiyo ni maarufu sana miongoni mwa vijana na hata watu wazima, lakini si kila mtu anayefanikisha azma hiyo. Sababu…

Read More

Ofisa Mtendaji afariki dunia akidaiwa kunywa sumu ya panya

Shinyanga. Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Ulowa Namba Moja, Kata ya Ulowa, Wilaya ya Kipolisi ya Ushetu, mkoani Shinyanga, Juliana Mkumbo (35), amekutwa amefariki dunia ndani ya chumba alichokuwa amepanga, huku milango ya nyumba hiyo ikiwa imefungwa kwa ndani. Tukio hilo lilibainika usiku wa Julai 16, 2025, baada ya watumishi wenzake kushindwa kuwasiliana na Juliana…

Read More