UZINDUZI WA KITABU CHA WATOTO: KUZUIA UTORO SHULENI

Dar es Salaam, 18 Julai 2025 Mwandishi wa vitabu vya kuelimisha watoto, Bi. Riziki Mohamed Juma, amezindua rasmi kitabu chake kipya kiitwacho “Saburi” katika hafla iliyofanyika katika Maktaba Kuu ya Taifa jijini Dar es Salaam.  Uzinduzi huu uliambatana na utambulisho wa vitabu vingine vya watoto, vikiwemo vya maandishi ya kawaida na vya nukta nundu kwa…

Read More

ZAIDI YA WATAALAMU 700 WA RASILIMALIWATU KUKUTANA ARUSHA

Na Pamela Mollel, Arusha Jiji la Arusha linajiandaa kupokea zaidi ya wataalamu 700 wa usimamizi wa rasilimaliwatu na utawala kutoka taasisi mbalimbali za umma nchini, kwa ajili ya kujadili mwelekeo mpya wa utendaji kazi unaolenga kuendana na kasi ya mageuzi ya teknolojia na mabadiliko ya mahitaji ya huduma kwa umma. Mkutano huo mkubwa wa kitaifa…

Read More

Vodacom, Jubilee Allianz Tanzania wajipanga ‘Kuinogesha’ NBC Dodoma Marathon, Wakabidhiwa ‘Kits’.

 Wadhamini wa mbio za NBC Dodoma Marathon Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania na Kampuni ya Bima ya Jubilee Allianz Tanzania wamesisitiza dhamira yao ya kuendelea kushirikiana na waandaaji wa mbio hizo Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ili kuhakikisha mbio hizo zinatimiza makusudi yake ya uwajibikaji kwa jamii huku pia zikitoa hamasa na furaha…

Read More

Serikali yatoa muda wa mwisho kusajili vituo vya malezi ya watoto mchana

Shinyanga. Mkoa wa Shinyanga una jumla ya vituo 103 vya kulelea watoto wadogo mchana, ambapo ni vituo 51 pekee ndivyo vilivyosajiliwa rasmi. Hali hiyo imemlazimu Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, David Lyamongi, kuwataka wamiliki wa vituo vilivyosalia kuhakikisha wanasajili vituo vyao haraka iwezekanavyo. Lyamongi amesema kutosajiliwa kwa vituo hivyo kunakiuka sheria na kanuni…

Read More

Uchumi mwiba kwa wanafunzi vyuoni

Dar es Salaam. Kupanda kwa gharama za maisha kumeathiri wanafunzi vyuoni nchini Tanzania, baadhi wakilazimika kuahirisha masomo. Wanaoathiriwa zaidi ni wanafunzi wanaotegemea msaada wa familia, ambao kunapotokea changamoto ya hali ngumu za kiuchumi huathirika. Kutokana na changamoto hizo, baadhi huahirisha masomo kwa muda ili kufanya kazi za muda mfupi au biashara ndogondogo ili kujikimu, hivyo…

Read More