
SEKTA YA KILIMO YAPOKEA BILIONI 85.2
:::::::: Na Ester Maile Dodoma Mkoa wa Arusha umepokea shilingi bilioni 85.2 kwa ajili ya sekta ya kilimo na shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya mifugo ambayo imetumika kujenga miundombinu ya umwagiliaji katika maeneo mbalimbali. Yamebainishwa hii leo 20Julai 2025 jijini Dodoma na Mkuu wa mkoa huo Kenani Kihongosi wakati akizungumza…