SEKTA YA KILIMO YAPOKEA BILIONI 85.2

:::::::: Na Ester Maile Dodoma  Mkoa wa Arusha umepokea shilingi bilioni 85.2 kwa ajili ya sekta ya kilimo na shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya mifugo ambayo imetumika kujenga miundombinu ya umwagiliaji katika maeneo mbalimbali. Yamebainishwa hii leo 20Julai 2025 jijini Dodoma na Mkuu wa mkoa huo Kenani Kihongosi wakati akizungumza…

Read More

CANADA YAIPA TANZANIA DOZI MIL 23 ZA VITAMINI A.

Na John Mapepele Serikali ya Canada kupitia Shirika lake linaloshughulika na masuala ya lishe duniani la Nutrition International imetoa dozi milioni 23 za vitamini A yenye thamani ya shilingi bilioni 1.3 kwa Serikali ya Tanzania ili kuokoa maisha kwa kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya maradhi kwa watoto. Kauli hiyo imetolewa leo na Mjumbe wa…

Read More

Kura zaendelea kupigwa Udiwani viti maalumu CCM

Dar/mikoani. Uchaguzi wa kuwapata madiwani wa viti maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika mikoa mbalimbali nchini unaendelea. Wilayani Bukoba Mkoa wa Kagera, jumla ya wajumbe 1,300 wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Bukoba Vijijini, wanaendelea kupiga kura kuwachagua madiwani tisa wa viti maalumu, kati ya wagombea 33…

Read More

Rufaa ilivyomnusuru kifungo cha maisha jela kwa ubakaji, ulawiti

Arusha. Mahakama ya Rufani imemuachia huru Bahati Anyandile, aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya makosa mawili ya kumbaka na kumlawiti mtoto wa mpangaji mwenzake  aliyekuwa na miaka minne. Matukio hayo yalidaiwa kutokea kwa tarehe isiyojulikana Aprili 2021. Anyandile alifanya vitendo hivyo mara nane kwa nyakati tofauti maeneo ya chumbani…

Read More

Wajumbe 3,000 wa UWT kuchagua madiwani 20 viti maalumu Geita

Geita. Wajumbe 3,000 wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) katika Wilaya ya Geita leo wameshiriki kuwapigia kura wanachama 20, watakaowakilisha wanawake kwenye mabaraza ya madiwani ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita na Manispaa ya Geita. Uchaguzi huo unaofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Nyankumbu, unahusisha wagombea 46 kutoka tarafa tano za…

Read More