UDOM yasitisha kozi tisa za elimu ya ualimu

Dodoma. Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kimesisitisha udahili wa programu tisa za shahada ya kwanza ya elimu ya ualimu katika mwaka wa masomo wa 2025/2026. Kwa mujibu wa tangazo la chuo hicho lililowekwa mitandaoni , chuo hicho hakitopokea maombi ya udahili katika shahada za elimu ya ualimu katika sayansi, saikolojia, biashara, sanaa, sayansi ya taaluma…

Read More

Mabosi Simba washtuka! | Mwanaspoti

MABOSI wa Simba wameshtuka. Baada ya kushindwa kumnasa Balla Mousa Conte, kisha kumpoteza beki wa kushoto, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ anayedaiwa kusajiliwa Yanga kwa mkataba wa miaka miwili, kumewafanya wazinduke na kuanza kufanya mambo yao kimyakimya. Simba iliyoanza kumfukuzia Bella Conte, ilijikuta ikipigwa bao…

Read More

Madina anoa makali kutetea taji Uganda

BAADA ya kushinda michuano mikubwa ya gofu ya wanawake Zambia na Ghana, Mtanzania Madina Iddi amenza rasmi maandalizi ya kutetea ubingwa wake wa John Walker Uganda Ladies Open kabla ya michuano kuanza mapema mwezi ujao, mjini Entebbe. Agosti mwaka jana, Madina Iddi alishinda michuano mikubwa ya wanawake Uganda akianza na Uganda Ladies Open jijini Kampala …

Read More

Bao la Mzize bado lamliza Chalamanda

KIPA wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda amekiri licha ya kufungwa mabao kibao msimu uliopita, lakini bado anateswa na lile alilotunguliwa na straika wa Yanga, Clement Mzize na ndilo lililokuwa bora kufungwa na lilimshangaza na kumuuzia hadi leo. Chalamanda ambaye ameitumikia Kagera kwa miaka minane mfululizo, ni miongoni mwa makipa wanaoongoza kwa kuokoa akifanya hivyo mara…

Read More