Offen Chikola asaini Yanga, apewa mitatu

YANGA SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa 2025-2026 ambapo leo Juni 22, 2025 imemtambulisha winga, Offen Chikola. Kwa mujibu wa Yanga, Chikola amejiunga na timu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Tabora United. Nyota huyo anakumbukwa na Wananchi kufuatia msimu uliopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara duru la kwanza kufunga…

Read More

Ratiba mpya ya CCM mchakato watiania ubunge, udiwani

Dar es Salaam. Baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kubadili ratiba ya vikao vyake vya uteuzi wa watiania wa ubunge na uwakilishi, kimetoa ratiba mpya ya vikao vyote kufanikisha mchakato huo. CCM ilitangaza mabadiliko ya ratiba hiyo, Julai 19, 2025 kupitia kwa Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, huku akitaja sababu…

Read More

Offen Chikola asaini Yanga | Mwanaspoti

YANGA SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa 2025-2026 ambapo leo Juni 22, 2025 imemtambulisha winga, Offen Chikola. Kwa mujibu wa Yanga, Chikola amejiunga na timu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Tabora United. Nyota huyo anakumbukwa na Wananchi kufuatia msimu uliopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara duru la kwanza kufunga…

Read More

Mechi za Kufuzu UEFA Kukupatia Mshiko Leo

JUMANNE ya leo unaweza ukaweka pesa yako ndani ya Meridianbet na ukabshiri mechi za kufuzu Ligi ya mabingwa Ulaya mkondo wa kwanza msimu ujao. ODDS za kibabe zinakusubiri sasa, ingia na usuke jamvi hapa. Anza kubashiri mechi hii ya Kups vs Kairat Almaty ambao hawapewi nafasi ya kushinda leo wakiwa na ODDS 2.80 kwa 2.65….

Read More

NAIBU WAZIRI UMMY AKAGUA MAANDALIZI YA MASHUJAA

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amefanya ukaguzi wa maandalizi kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yanayotarajiwa kufanyika tarehe 25 Julai, 2025 katika Uwanja wa Mashujaa, Mtumba Jijini Dodoma. Mhe. Nderiananga ametembelea Uwanja huo leo tarehe 22 Julai, 2025 ili kujionea maandalizi ambapo amesema yamefikia hatua…

Read More