Offen Chikola ni Mwananchi | Mwanaspoti

YANGA kumtangaza kiungo mshambuliaji Offen Chikola aliyesaini miaka miwili ni suala la muda tu, kwani ipo  hatua ya mwisho kukamilisha vitu vilivyokuwa vimesalia. Yanga imemsajili Chikola akitokea Tabora United na ilizishinda Simba, Azam FC na Namungo ambazo zilikuwa zinawania saini yake, mchezaji huyo msimu uliyoisha alimaliza na mabao saba na asisti mbili. Chanzo cha ndani…

Read More

Aucho, Simba kuna jambo | Mwanaspoti

SIMBA ambayo imeshaondokewa na wachezaji tisa wakiwamo wanne wa kimataifa na watano wazawa walioiotumikia msimu uliopita, inaendelea kujitafuta kwa kujipanga kimyakimya kwa kusainisha nyota kadhaa inayosubiri kuwatangaza hivi karibuni. Simba iliyomaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu na kufika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ikipoteza kwa mabao 3-1 mbele ya RS Berkane ya Morocco,…

Read More

Kumekucha… Simba yashusha mrithi Tshabalala

NI kama vile mabosi wa Simba sasa wameamua kujibu kwa vitendo baada ya kuwepo kwa kelele nyingi mtandaoni juu ya kushindwa kufanya usajili na badala yake kutoa ‘thank you’ tu kwa waliokuwa nyota wa timu hiyo, kwa kumshusha beki wa kushoto wa kurithi nafasi ya Mohammed Hussein ‘Tshabalala’. Tshabalala aliyedumu Msimbazi kwa muda wa miaka…

Read More