UN rasmi inarudia wito wa kusitisha mapigano ya Gaza kama ‘ndoto ya idadi ya kihistoria’ inafanyika – maswala ya ulimwengu

Khaled Khiari, katibu msaidizi wa Mashariki ya Kati, aliwaambia mawaziri na mabalozi kwamba mazungumzo yanayoendelea lazima yasababisha mwisho wa uhasama, kutolewa kwa mateka wote, kuingia kwa msaada wa kibinadamu, na kwa uokoaji na ujenzi kuanza. Alipaka picha mbaya ya hali juu ya ardhi, akionyesha kupanua shughuli za kijeshi za Israeli, haswa katika Deir al-Balah, ambayo…

Read More

Romain Folz rasmi atambulishwa Yanga

Klabu ya Yanga imemtambulisha Romain Folz kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026. Kocha huyo mwenye leseni ya UEFA Pro na CONBEL Pro, ametua Yanga kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Miloud Hamdi aliyetimkia Ismailia ya Misri baada ya kudumu kwa takribani miezi sita na kushinda ubingwa wa Ligi…

Read More

BILA ‘PPP’ MAENDELEO YATAKAWIA – BALOZI DKT. MWAMPOGWA

………..  NA MWANDISHI WETU, TANGA Ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (Public and Private Partnership – PPP) ni muhimu sana katika kuchagiza kasi ya maendeleo na bila ushirikiano huo, maendeleo yatakawia kuwafikia wananchi kule walipo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Wazalendo Huru Tanzania – Watoto wa Afrika, Balozi Dkt. Mohamed…

Read More

Tuzo ya Heshima kwa Shukrani Haule – NEMC Yang’ara!

Afisa Rasilimali Watu Mwandamizi kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira ( NEMC) Bi. Shukrani J. Haule amekabidhiwa tuzo ya Mfanyakazi Hodari wa Taasisi katika Mkutano wa Jumuiya za Wataalam wa Usimamizi wa Rasilimali Watu na Utawala katika Utumishi wa Umma Tanzania (TAPA-HR), unaofanyika Jijini Arusha Katika Ukumbi wa kituo cha Mikutano…

Read More