
Majaliwa Akutana Na Waziri Mkuu Wa Belarus – Global Publishers
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa alivyopokelewa na Waziri Mkuu wa Belarus WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Belarus, Alexander Turchin na kujadiliana naye masuala ya uwekezaji, biashara, nishati, madini, elimu, afya, teknolojia na kilimo kwenye kikao kilichofanyika leo (Jumanne, Julai 22, 2025) ofisini kwa mwenyeji wake, mtaa wa Sovetskaya, jijini Minsk. Katika mazungumzo…