
Kuelekea NBC Dodoma Marathon: Benki ya NBC Yakabidhi Pikipiki 10 Kwa jeshi la Polisi Kuimarisha Usalama, Yakabidhi ‘Kits’ kwa Mkuu wa Mkoa Dodoma
Waandaaji wa mbio za NBC Dodoma Marathon, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo wamekabidhi pikipiki 10 zenye thamani ya sh mil 28 kwa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ili kuunga mkono jitihada za mkoa huo katika kuboresha musuala ya usalama na kukabiliana na uhalifu hususani kipindi kuelekea mbio za NBC Dodoma Marathon…