Hekta 11,000 za mikoko zatoweka Pemba

Pemba. Wananchi ambao wanaishi maeneo ya pembezoni mwa Pwani ya Bahari ya Hindi katika Kisiwa cha Pemba, wametakiwa kuhakikisha wanatunza na kuhifadhi misitu ya mikoko ambapo kwa sasa kuna ongezeko la kukatwa na kuharibiwa kwa mazingira yake, jambo ambalo ni hatari kwao. Akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya Mikoko Duniani iliyofanyika katika Shehia ya Shidi…

Read More

EAGT Temeke kuongoza maombi ya kitaifa kuombea uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Wakati taifa linapoelekea katika kipindi cha uchaguzi, waumini wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) Temeke kwa kushirikiana na viongozi wengine wa kiroho wameandaa mkutano wa injili ukiwa na lengo la kuwaombea Watanzania amani, mshikamano, na uongozi wenye maadili kuelekea uchaguzi ujao. Maombi hayo yanatarajiwa kuanza kesho Julai 27, 2025…

Read More

Wajumbe CCM watupiwa zigo la uteuzi

Dar/Mikoani. Mzigo wa kuamua kina nani wanastahili kupigiwa kura za maoni kutafuta wa kupeperusha bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi ya ubunge na uwakilishi umerejeshwa kwa wajumbe, baada ya chama hicho kufanya marekebisho madogo ya katiba yake. Marekebisho hayo katika Ibara ya 103(7) f, sasa yanaipa kamati kuu wigo mpana wa kufikiria na…

Read More

EMEDO Yatoa Elimu ya Usalama wa Maji kwa Watoto Kawe

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv KATIKA kuadhimisha Siku ya Kuzuia Kuzama Maji Duniani, Shirika la EMEDO kwa kushirikiana na mradi wake wa Lake Victoria Drowning Prevention Project (LVDPP) limefanya kampeni ya utoaji elimu kwa wanafunzi katika Shule ya Msingi Ukwamani jijini Dar es Salaam, likisisitiza umuhimu wa elimu ya kujiokoa na hatua za tahadhari dhidi…

Read More