
TAASISI YA LIFE AND HOPE YAFUNGUA SOBER HOUSE MPYA ILEMELA, JIJINI MWANZA
Taasisi ya Life and Hope Rehabilitation Organization (LHRO) imefungua rasmi nyumba mpya ya utengemao (Sober House) kwa ajili ya waraibu wa dawa za kulevya katika Kata ya Kiseke, Wilaya ya Ilemela, jijini Mwanza. Uzinduzi huo ulifanyika hivi karibuni ukihudhuriwa na Diwani wa Kata ya Kiseke Mhe. Mwevi Ramadhani Mwevi ambaye alikuwa mgeni rasmi, pamoja na…