Mke, wenzake wawili kunyongwa kwa mauaji ya mume

Morogoro. Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro imewahukumu kunyongwa hadi kufa watu watatu, akiwemo dereva wa bodaboda baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la mauaji. Waliohukumiwa adhabu hiyo wametiwa hatiani kwa mauaji ya Christian Tungaraza, aliyekuwa mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Siginali, kwa kumkata na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili akiwa nyumbani…

Read More

Suza, APRM kushirikiana tafiti kuimarisha utawala bora

Unguja. Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (Suza) kimesaini makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Mpango wa Hiari wa Kujitathmini kwa vigezo vya Utawala Bora Tanzania (APRM), wenye lengo la kuimarisha tafiti zinazolenga kukuza utawala bora nchini. Akizungumza leo Jumamosi Julai 26, 2025 Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Moh’d Makame Haji amesema chuo hicho…

Read More

Ridhiwani aleza tatizo la vijana kwenye mikopo

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amezitaka taasisi za kifedha kuwajengea uwezo vijana ili wawe na sifa ya kukopesheka, akisema tatizo la vijana wengi nchini ni kukosa nidhamu ya fedha. Amesema kijana anapopata fedha hutumia nje ya malengo kusudiwa kutokana na kukosa nidhamu…

Read More

Mobile Fraud Attempts Drop as Awareness and Reporting Improve

By Correspondent Dar es Salaam. Tanzania has recorded a 19 percent drop in mobile money fraud attempts between March and June this year, a development analysts say reflects growing public awareness, improved regulatory enforcement, and a tightening of internal controls among some mobile network operators. The latest performance report by the Tanzania Communications Regulatory Authority…

Read More

Kigogo Prisons afichua mtoko mpya

“PRISONS mpya inakuja.” Ni kauli ya ofisa mtendaji mpya wa Tanzania Prisons, Godfrey Madegwa akieleza namna anavyokwenda kuisuka timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao, huku akiwatoa hofu wadau na mashabiki juu ya presha iliyojitokeza msimu uliopita. Msimu uliopita maafande hao waliponea chupuchupu kushuka Ligi Kuu Bara kufuatia matokeo ya jumla ya mtoano baada ya…

Read More

Manyama kuibukia Mtibwa | Mwanaspoti

BAADA ya kumalizana na Singida Black Stars, Edward Charles anatajwa kujiunga na Mtibwa Sugar iliyopanda Ligi Kuu Bara msimu huu. Manyama ambaye alishawahi kukipiga Azam FC aliitumikia Singida Black Stars kwa mkataba wa mwaka mmoja na alijiunga nayo akitokea Azam FC aliyoitumikia kwa misimu miwili. Chanzo cha kuaminika kutoka Mtibwa Sugar kimeliambia Mwanaspoti kuwa mazungumzo…

Read More

Mwijage azikwepa mbili na kutua KMC

BAADA ya kuhusishwa na Pamba Jiji na Mtibwa Sugar aliyekuwa winga wa Kagera Sugar iliyoshuka Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Erick Mwijage amejiunga na KMC. Winga huyo ambaye alikuwa anahusishwa kujiunga na Pamba Jiji na Mtibwa Sugar amefikia makubaliano ya kusaini mkataba wa kuitumikia KMC kwa mkataba wa miaka miwili. Mwanaspoti limethibitishiwa na mmoja ya…

Read More