AMREF TANZANIA YAPOKEA MILIONI 100 KUTOKA NBC DODOMA MARATHON 2025 KUBORESHA HUDUMA KWA WATOTO WENYE USONJI

Mkurugenzi Mkazi wa Amref Tanzania, Dr. Florence Temu akiambatana na viongozi mbalimbali wakati wa NBC Dodoma Marathon 2025, 27/07/2025, Dodoma.Baadhi ya Wafanyakazi wa Shirika la Amref Tanzania wakati wa mbio za NBC Dodoma Marathon 2025, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma 27/07/2025.Mkurugenzi wa Miradi Amref Tanzania, Dkt. Aisa Muya (Wa pili kushoto) akiambatana na…

Read More

Chaumma yapokea wanachama wapya 250

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimepokea wanachama wapya 250 kutoka Jimbo la Kinondoni leo Jumapili, Julai 27, 2025 wakati chama hicho kilipofanya mkutano mkuu wa jimbo hilo. Sera za chama, kushiriki uchaguzi, mabadiliko ni miongoni mwa sababu zilizofanya chama hicho kupokea wanachama wapya jimboni hapo kama alivyosema Katibu wa Jimbo la…

Read More

Rais Samia kufungua kongamano la elimu bila kikomo

Dodoma. Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) itawakutanisha wadau wa elimu katika maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, huku miongoni mwa malengo yakielezwa ni kuangazia umuhimu wa kujua kusoma na kuandika katika kujifunza bila ukomo. Mbali na hilo, Rais Samia Suluhu Hassan atafungua kongamano la masuala ya elimu bila kikomo litakalofanyika Agosti 25,…

Read More

Miili ya wanafunzi sita ajali ya basi ilivyoagwa

Mbeya. Vilio na simanzi vimetawala katika Shule ya Sekondari Chalangwa, wilayani Chunya mkoani Mbeya, wakati wa kuagwa kwa miili ya wanafunzi sita waliopoteza maisha katika ajali ya basi, walipokuwa wakifanya mazoezi ya utimamu wa mwili. Ajali hiyo ilitokea jana Jumamosi Julai 26, 2025 katika eneo la Chalangwa baada ya basi la abiria la Kampuni ya…

Read More

Maafa Mbeya, ajali ikiua na kujeruhi

Mbeya. Watu kadhaa ambao bado idadi yao haijajulikana wanahofiwa kufariki dunia  katika ajali maeneo ya mteremko wa Nzovwe hadi kwenye daraja la Iyunga kunakoendelea ujenzi wa barabara ya njia nne jijini Mbeya ikihusisha magari matano. Ajali hiyo imetokea leo Julai 27, ambapo Mwananchi Digital imefika katika maeneo hayo na kushuhudia Jeshi la Polisi, Zimamoto na…

Read More

Maafa Mbeya, ajali ikiuua na kujeruhi

Mbeya. Watu kadhaa ambao bado idadi yao haijajulikana wanahofiwa kufariki dunia  katika ajali maeneo ya mteremko wa Nzovwe hadi kwenye daraja la Iyunga kunakoendelea ujenzi wa barabara ya njia nne jijini Mbeya ikihusisha magari matano. Ajali hiyo imetokea leo Julai 27, ambapo Mwananchi Digital imefika katika maeneo hayo na kushuhudia Jeshi la Polisi, Zimamoto na…

Read More

Watu kadhaa wahofiwa kufariki, kujeruhiwa ajalini Mbeya

Mbeya. Watu kadhaa ambao bado idadi yao haijajulikana wanahofiwa kufariki dunia  katika ajali maeneo ya mteremko wa Nzovwe hadi kwenye daraja la Iyunga kunakoendelea ujenzi wa barabara ya njia nne jijini Mbeya ikihusisha magari matano. Ajali hiyo imetokea leo Julai 27, ambapo Mwananchi Digital imefika katika maeneo hayo na kushuhudia Jeshi la Polisi, Zimamoto na…

Read More