
July 27, 2025


MAHUBIRI: Mambo yayonayosababisha usifurahie ndoa yako
Bwana Yesu asifiwe, leo tumepewa kichwa cha somo kinachosema mambo yanayoweza 1.MSINGI MBAYA WA NDOA YENU TOKA MWANZO Msingi wa ndoa unaweza kuamua ndoa yako uifurahie au iwe ndoa ya mateso. 🎯 Ukijenga ndoa katika msingi mbaya, matatizo yanakuhusu, changamoto zinakuhusu, kilio kinakuhusu, shida zinakuhusu. >>Usipoheshimu misingi ya ndoa, na ndoa haitakuheshimu. >>Usipotii misingi…

Simba yatua tena Mamelodi ikitaka winga
SIMBA haipoi. Baada ya kudaiwa kunasa saini ya mmoja wa mabeki wa Mamelodi Sundowns, mara hii imerejea tena ikipambana kuchomoa mtu ndani ya timu hiyo ambaye katika mashindano ya Kombe la Dunia la Klabu kule Marekani ulimshuhudia akikipiga katika kikosi hicho. Achana na Rushine De Reuck, beki unayeweza kumuona mitaa ya Msimbazi msimu ujao, lakini…

Sifa nne beki mpya Simba
WAKATI mashabiki wa Simba SC wakifurahia taarifa za usajili wa beki wa kimataifa wa Afrika Kusini, Rushine De Reuck, mmoja wa wapinzani wake wa muda mrefu katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Qobolwakhe Sibande, ametia neno kuhusu ubora wake huku akitaja mambo manne aliyonayo. Sibande anayekipiga klabu ya TS Galaxy, aliwahi kukutana na De Reuck…