Miezi mitano ya mapinduzi ya utalii Tanzania

Dar es Salaam. Idadi ya watalii walioingia nchini kwa miezi mitano ya mwanzo kwa mwaka 2025 ilifikia 794,102 kiwango ambacho kimevunja rekodi kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita, takwimu za Idara ya Uhamiaji zinaonyesha. Ikilinganishwa na 2024, ongezeko la watalii wanaoingia nchini lilikua kwa asilimia nne sawa na wastani wa watalii 28,000. Licha kuwa mwaka…

Read More

Mmombwa ana dakika 90 UEFA

KIUNGO Mtanzania, Charles Mmombwa, Julai 31 na chama lake la Floriana FC watakuwa na kibarua kizito cha kupambania kuvuka raundi ya pili ya mashindano ya Europa Conference League dhidi ya Ballkani. Floriana FC inashiriki Ligi Kuu ya Malta, maarufu kama Maltese Premier League, ambayo ni ligi ya daraja la juu katika mfumo wa soka nchini…

Read More

Kachwele: Kucheza na Messi kumeniongezea kitu

MSHAMBULIAJI wa Whitecaps anayecheza kwa mkopo Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani (MLS), Cyprian Kachwele amesema kucheza ligi moja na Lionel Messi (Inter Miami) kumemwongezea uzoefu. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC, huu ni msimu wake wa pili Marekani na msimu uliopita akiwa na…

Read More

Ishu ya KenGold kuuzwa iko hivi!

KenGold iko mbioni kuuzwa kwa Serikali ya Halmashauri ya Wilaya ya Chunya jijini Mbeya, baada ya kuelezwa kwa sasa vigogo wa timu hiyo hawako tayari kuiendeleza, kutokana na gharama kubwa za kiuendeshaji tangu wainunue mwaka 2019. Timu hiyo imeshuka daraja msimu wa 2024-2025, kutoka Ligi Kuu Bara hadi Championship, baada ya kumaliza nafasi ya 16…

Read More

Baraza amvuta Mkenya mwenzie Pamba Jiji

BAADA ya Pamba Jiji kukamilisha dili la Francis Baraza kwa ajili ya kukiongoza kikosi hicho msimu ujao, kwa sasa kocha huyo inaelezwa amempendekeza Mkenya mwenzake, John Waw ndani ya timu hiyo, kwa lengo la kufanya kazi naye tena. Baraza aliyewahi kuzifundisha Biashara United na Kagera Sugar zote za Tanzania, amejiunga na Pamba kwa lengo la…

Read More

Sakata la Mgunda bado kitendawili

LICHA ya Mashujaa kumtambulisha aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Ismail Mgunda, kwa ajili ya kukichezea kikosi hicho msimu ujao, kumekuwa na sintofahamu baada ya kudaiwa pia nyota huyo amesaini mkataba na Singida Black Stars. Nyota huyo aliitumikia Mashujaa msimu wa 2024-25, kisha baadaye kuuzwa kwenda AS Vita Club ya DR Congo katika dirisha dogo la…

Read More

Jaji Mwanga ‘kujihukumu’ leo kesi ya Chadema

Dar es Salaam. Jaji wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, Hamidu Mwanga leo Jumatatu, Julai 28, 2025 anatarajiwa kutoa uamuzi utakaotoa hatima yake kuendelea kusikiliza kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Kesi hiyo ya madai ya mwaka 2025 imefunguliwa na Said Issa Mohamed, Makamu Mwenyekiti…

Read More

Kusuka au kunyoa mchakato wa mchujo CCM

Dar es Salaam. Mchakato wa mchujo wa majina ya watiania ya ubunge, uwakilishi na udiwani ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), umefikia hatua ya watiania hao kuamua kusuka au kunyoa, zikiwa zimesalia saa chache kabla ya kila kitu kuwekwa hadharani. Ingawa kuna ahueni ya majina zaidi ya matatu kurudishwa kwa wajumbe kupigiwa kura za maoni,…

Read More