
HALMASHAURI YA MERU YAJIVUANIA BOOST KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA SERA YA ELIMU
Kupitia Program ya BOOST, Halmashauri ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha, imepokea jumla ya Sh. Bilioni 2 na milioni 71 ambayo imewezesha ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya Elimu ya Awali na Msingi. Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Zainabu Makwinya kati ya fedha hizo Sh. Milioni 332 zinawezesha ujenzi wa Shule ya Msingi kwenye Shule ya Sekondari,…