MAADILI YAPEWA KIPAUMBELE KATIKA JUKWAA LA AKILI UNDE

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA Dkt Nkunde Mwasaga wakati akizungumza katika mkutano wa kwanza wa Jukwaa la Akili Unde la Tanzania ( Tanzania Artificial Intelligence Forum 2025) ambalo linafanyika kwa siku mbili Julai 28-29 mwaka huu likiiangazia nama ya utengenezaji fursa kwa vijana sambamba na kulinda maadili ya nchi. Mtaalamu wa Usalama na Uchunguzi…

Read More

Mchujo watiania CCM ulivyofanyika hadi usiku mnene

Dar es Salaam. Imechukua zaidi ya saa za kawaida za kazi kwa wajumbe wa Kamati ya Usalama na Maadili ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuchuja majina ya watiania wa nafasi za ubunge na uwakilishi. Makada hao ambao wakivuka michakato ya ndani ya CCM watakwenda kuchuana na vyama vingine katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba…

Read More

Wanandoa wakutwa wamefariki ndani ya nyumba yao

Rungwe. Vilio, simanzi, taharuki na sintofahamu vimetawala katika kitongoji na kijiji cha Isajilo kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kufuatia vifo vya wanandoa, Huruma Mwakanyamale na mumewe, Richard Mwaluko, wakutwa wamefia ndani. Tukio hilo linadaiwa kutokea usiku wa kuamkia Jumamosi Julai 26, 2025 kwenye kitongoji cha Katumba, kijiji cha Mpuguso, huku familia…

Read More

Airtel Africa Yatangaza Matokeo Mazuri ya Robo ya Kwanza 2025

Dar es Salaam, Julai 2025 – Airtel Africa imetangaza matokeo bora kwa robo ya kwanza iliyoishia Juni 30, 2025, ikionesha ongezeko la wateja wanaotumia huduma za intaneti na Airtel Money katika nchi mbalimbali za Afrika.Afisa Mtendaji Mkuu, Sunil Taldar, amesisitiza kuwa mafanikio haya ni matokeo ya utekelezaji wa mkakati thabiti unaolenga kuboresha huduma kwa wateja…

Read More

Benki ya Absa Tanzania na World Vision Tanzania Wakabidhi Mradi wa Maji Safi kwa Kijiji cha Kwedizinga Handeni kunufaisha wakazi zaidi ya 3,800.

Benki ya Absa Tanzania kwa kushirikiana na World Vision Tanzania leo wamekabidhi rasmi mradi wa kisima chenye pampu ya umeme wa jua na mtandao wa usambazaji maji kwa wakazi wa Kijiji cha Kwedizinga, wilayani Handeni, Mikoani Tanga. Hafla ya mradi huo uliofadhiliwa na Benki ya Absa Tanzania Kwa kiasi cha shs milioni 50, imefanyika eneo…

Read More

Tanzania ya kesho katika matumizi ya AI

Dar es Salaam. Wataalamu wa teknolojia wameeleza Tanzania ina nafasi kubwa ya kufikia azma yake ya kujenga uchumi wa kidijitali kutokana na juhudi za makusudi inazoweka ikiwemo kutoa fursa kwa wabunifu kunufaika na matumizi ya teknolojia zinazoibuka, ikiwemo akili unde. Akili unde (AI) ni teknolojia inayowezesha kompyuta na mashine kuiga uwezo wa binadamu kama vile…

Read More