MWENGE WA UHURU WAZINDUA MTAMBO WA KUTENGENEZA BARABARA KALIUA

KATIKA kutekeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini vinapitika wakati wote, Wilaya ya Kaliua imetekeleza mkakati huo kwa vitendo. Katika kuthibitisha hilo, Mbio za Mwenge wa Uhuru umezindua mtambo wa kutengeneza barabara (Motor Grader) wenye thamani ya shilingi bilioni 1.2…

Read More

KAMATI KUU YA CCM YAMPITISHA DKT ALLY SIMBA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MOROGORO MJINIi

………………..  KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imelipendekeza jina la Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Mawasiliano Afrika Mashariki DK Ally Simba, kuwania Ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini akichuana na wagombea wengine sita akiwemo aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Abdulaziz Abood. Dk Simba ambaye mbali na nafasi yake ya Utendaji katika…

Read More

Moto waua watoto watano kituo cha yatima Tabora

Tabora. Watoto watano waliokuwa katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Igambilo, Kata ya Misha, Manispaa ya Tabora wamefariki dunia, baada ya moto kuzuka katika chumba walicholala. Inaelezwa kuwa moto huo umeanzia katika jengo lenye vyumba vinne, ikiwemo chumba walichokuwa wamelala watoto hao wenye mahitaji maalumu, usiku wa kuamkia Julai 29, 2025, huku chanzo kikitajwa…

Read More

WATAALAMU WASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA AI

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya TEHAMA Dkt Nkunde Mwasaga (kushoto),akiwa Dkt George Mulamula (katikati) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Datavera Bilal Hmede katika siku ya pili ya Jukwaa la Akili Unde la Tanzania 2025 ambalo limefanyika kuanzia Julai 28-29 mwaka huu jijini Dar es salaam …………………. NA MUSSA KHALID Mkurugenzi Mkuu wa Tume…

Read More