Robo fainali BDL moto | Mwanaspoti

Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imefikia patamu kutokana na timu kupambana kusaka nafasi ya kucheza hatua ya robo fainali. Ukiondoa timu za Dar City yenye pointi 24, Pazi 22, Stein Warriors 21 na JKT 21 zilizojiweka katika mazingira mazuri ya kucheza hatua hiyo, timu zinazopambana kutafuta nafasi nne za kucheza robo…

Read More

Vijana Queens ilivyojibeba WBDL | Mwanaspoti

Uzoefu wa Vijana Queens kwenye Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam kwa wanawake (WBDL), ndiyo ulioibeba katika mchezo wake na Ukonga Queens. Katika mchezo huo uliopigwa Donbosco, Upanga, timu ya Vijana Queens ilishinda kwa pointi 59-47 ikiwatumia wachezaji iliowapandisha kutoka kikosi cha pili cha City Queens ambapo ilianza kuongoza katika robo ya kwanza…

Read More

Simba Queens yasajili kipa Mganda

SIMBA Queens inaendelea kushusha vyuma kimyakimya kwa ajili ya msimu mpya wa mashindano ya Ligi Kuu na inaelezwa imemalizana na kipa Mganda Ruth Aturo. Simba Queens iliwapa mkono wa kwaheri makipa wawili Carolyne Rufaa, aliyekuwa nje ya uwanja kwa msimu mzima akiuguza majeraha na Gelwa Yona. Klabu hiyo inaendelea na Janet Shija na Winfrida Ceda….

Read More

Simba yafanya umafia Kenya | Mwanaspoti

SIMBA wameonyesha ukubwa wao kwa mara nyingine. Kuna jambo ambalo wamefanya kwenye kambi ya timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars ambalo limemtibua Kocha Benni McCarthy. Ni jinsi walivyoufanya kibabe usajili wa mshambuliaji wao mpya, Mohammed Bajaber na kuumaliza kwa haraka bila kumpa hata nafasi ya kumeza mate. Simba imeendelea kuboresha kikosi chake kwa kusajili…

Read More

Kocha Yanga aleta balaa jipya!

WAKATI Yanga ikiendelea na mchakato wa kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026,kuna mafundi sita wameshushwa kuunda benchi jipya la ufundi litakaloongozwa na Mfaransa, Romain Folz. Folz ambaye amekuwa mtu wa kwanza kutambulishwa katika benchi hilo akichukua nafasi ya Miloud Hamdi, ana kazi kubwa ya kuhakikisha msimu ujao timu hiyo inafika hatua ya makundi…

Read More

WAZIRI KOMBO AWAHAMASISHA VIJANA WA TANZANIA KUCHOCHEA MABADILIKO YA MIFUMO YA CHAKULA DUNIANI

::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na vijana viongozi kutoka Tanzania wanaoshiriki katika mageuzi ya mifumo ya chakula kupitia mradi wa Global Alliance for Improved Nutrition (GAIN) chini ya kampeni ya Vijana4Food. Mazungumzo hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano wa Pili wa Mfumo wa…

Read More

MNIKWAMBIE MAMA: Mtuletee wagombea wenye sifa ya ubunifu

Endapo utaona tone la mvua likiangukia sofani, utashikwa na hofu ya kuharibika kwa sofa hilo. Utatupa macho juu kuona panapovuja na kukutana na alama kwenye dari. Utaweka ngazi na kuparamia darini ambako utagundua kigae kilichovunjika. Usipoangalia utajikuta ukirudi chini na kuinamisha kichwa: kadha imekuwa kadha wa kadha! Namna hii ndiyo ambayo matatizo huitumia kumchanganya mwanadamu….

Read More

Wachunguzi wa Haki za UN – Maswala ya Ulimwenguni

Wakati huo huo, shambulio lingine Jumanne liliripotiwa kuwauwa raia watano na kujeruhi watatu katika mkoa wa Kharkiv, ulioko mashariki mwa Ukraine. Kulingana na viongozi, vikosi vya jeshi la Urusi viliangusha mabomu kadhaa yenye nguvu kwenye Bilenkivska Adhabu ya Adhabu ya Colony Na. 99 mnamo 28 Julai. Gereza hilo liko karibu kilomita 25 kutoka mstari wa…

Read More