Zabibu ya Makutupora Nyekundu Yatajwa kwa Upekee Duniani

WATAFITI wa Kilimo kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) wameitaja Mbegu ya Zabibu ijulikanayo kama Makutupora nyekundu (Makutupora Red) kuwa ni Mbegu ambayo imethibitika kuwa na sifa za kipekee Duniani. Hayo yamesemwa Leo Julai 30, 2025 na Mtafiti Mwandamizi kutoka kituo cha TARI Makutupora Bi. Felista Mpore wakati akizungumza katika Moja ya kituo cha…

Read More

BAADA YA JINA LAKE KUKATWA,ALEX MSAMA ATOA NENO

Siku moja tu baada ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuondoa jina lake miongoni mwa watia nia wa Jimbo la Ubunge Ukonga jijini Dar, aliyetia nia, Alex Msama ametoa neno zito. Msama ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Msama Promotions & Dira Media ametoa neno kwa kuwataka watia nia…

Read More

Ibenge asaka mrithi wa Fei Toto

WAKATI tetesi za kiungo wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ zikizidi kuwa nyingi kwamba huenda akajiunga na Simba au Yanga, kocha mpya wa kikosi hicho Florent Ibenge amejiandaa kwa lolote. Ibenge ambaye ametua Azam akitokea Al-Hilal ya Sudan ndiye atakayekiongoza kikosi hicho msimu ujao akirithi mikoba kutoka kwa Rachid Taoussi. Taarifa kutoka ndani ya Azam…

Read More

Mbeya City yazidi kujiimarisha yambeba Kelvin Kingu

BAADA ya kumalizana na Ame Ally akitokea Mashujaa, uongozi wa Mbeya City umemuongezea nguvu mkongwe huyo kwa kunasa saini ya beki wa kati, Kelvin Kingu Pemba kutoka Tabora United kwa mkataba wa mwaka mmoja. Msimu uliopita Pemba alikuwa na kiwango bora sana akiwa na nyuki wa Tabora, lakini klabu hiyo imeshindwa kumbakisha akitimkia Mbeya City…

Read More

Pamba Jiji yamfuata Ikangalombo | Mwanaspoti

PAMBA haitaki mchezo msimu ujao. Tetesi zinasema imetuma maombi kwa Yanga kumtaka winga wa mabingwa hao Jonathan Ikangalombo hata kwa mkopo ili aongeze nguvu msimu ujao. Ikangalombo ambaye alikuwa akiichezea AS Vita, alitua nchini katika dirisha dogo huku mabosi wa Yanga wakimnunua na kumsainisha mkataba wa miaka miwili kukitumikia kikosi cha Wananchi. Taarifa kutoka ndani…

Read More

Kumkumbuka Dk. David Nabarro, meli iliyokufa ya meli mbali na Libya, uamuzi katika mauaji ya mlinda amani – maswala ya ulimwengu

Mganga wa Uingereza na bingwa wa afya ya umma ulimwenguni alikufa mwishoni mwa wiki iliyopita akiwa na umri wa miaka 75. Alikuwa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) Mjumbe maalum anayeshughulika na COVID 19 Mgogoro. Urithi wa huduma “Katibu Mkuu analipa ushuru kwa urithi wa huduma ya Dk. Alisema Jumanne huko New York. Dk. Nabarro alikumbukwa…

Read More

Shally Raymond aibua shangwe kwa wajumbe UWT Kilimanjaro

Moshi. Aliyekuwa mbunge wa Viti Maalumu Shally Raymond, ameibua shangwe kutoka kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Umoja Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Kilimanjaro, licha ya jina lake kutojumuishwa katika orodha ya walioteuliwa kugombea nafasi hiyo. Mkutano huo unafanyika leo Jumatano Julai 30, 2025 katika Uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika…

Read More

Wanawake UWT Mara waahidi kuchagua wabunge ‘majembe’

Musoma. Wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Mara, wameahidi kuchagua wawakilishi wenye uwezo wa kuwawakilisha vema sambamba na kuwaunganisha. Jumla ya wajumbe 1,435 wanashiriki mkutano huo leo Jumatano Julai 30, 2025 kwa lengo la kuchagua majina ya wabunge wawili kati ya wagombea wanane ambao majina yao yamerudishwa…

Read More