Mashujaa kunoa makali Arachuga | Mwanaspoti

WAKATI timu zikisaka maeneo ya kwenda kufanya maandalizi kwa ajili ya msimu ujao, kikosi cha Mashujaa mapema imeshajua ni wapi itakwenda kuweka kambi yake. Akizungumza na Mwanaspoti alisema mmoja wa viongozi wa klabu hiyo alisema, zipo sababu kama mbili ambazo zimewafanya waichague Arusha kama sehemu ya maandalizi yao. “Tumekubaliana kwenda Arusha kwa ajili ya kambi…

Read More

Mcameroon awindwa Tabora United | Mwanaspoti

WAKATI Dodoma Jiji ikidaiwa kumalizana na aliyekuwa kiungo wa Tabora United, Mkongomani Nelson Munganga, mabosi wa timu hiyo wameanza harakati za kusaka mbadala wake, ambapo imetua kwa Mcameroon, Palai Mba Manjie ili kurithi mikoba yake. Manjie anayeichezea Victoria United ya Cameroon kwa sasa, inadaiwa wawakilishi wa mchezaji huyo wametua tayari jijini Dar es Salaam, kwa…

Read More

Straika wa mabao anukia Dodoma Jiji

UONGOZI wa Dodoma Jiji unaendelea na maboresho ya nyota wapya ndani ya kikosi hicho na kwa sasa umeanza mazungumzo ya kupata saini ya mshambuliaji wa Fountain Gate, Edgar William, huku akiwa tayari amewekewa mkataba wa miaka miwili. Nyota huyo aliyeichezea Fountain Gate kwa msimu mmoja akitokea KenGold, ni pendekezo la mabosi wa Dodoma Jiji na…

Read More

Hospitali iliyoanza kujengwa 1975, yaanza kutoa huduma

Dodoma. Ujenzi wa Hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ya Mkoa wa Mara iliyoanza kujengwa mwaka 1975, imeanza kutoa hudumu huku ujenzi wake ukiwa umefikia asilimia 70 na unatarajiwa kukamilika miaka miwili ijayo. Hospitali hiyo kuanza kutoa huduma, kunakamilisha safari ya ujenzi wake ulioanza mwaka 1975 chini ya Mwalimu Julius Nyerere na sababu za kuchelewa…

Read More

Kaya zaidi ya 700 Muheza zaunganishwa na majiko banifu

Muheza. Zaidi ya kaya 700 ikiwemo maeneo ya biashara katika Kijiji cha Mlesa kilichopo Wilaya ya Muheza mkoani Tanga zimeunganishwa na teknolojia ya matumizi ya majiko banifu. Majiko hayo yanayotumia kuni chache, yamewezesha wananchi wa kijiji hicho na vijiji vingine vya jirani wanaozunguka Hifadhi ya Mazingira Asili ya Amani, kulinda rasilimali za msitu kwa kupunguza…

Read More