
Sadi Mtangi Ahukumiwa Miaka 60 Jela Kwa Makosa Ya Kubaka Wanafunzi – Video – Global Publishers
Last updated Jul 18, 2025 Mahakama ya Wilaya ya Mkinga, mkoani Tanga, Julai 17, 2025 imemhukumu Sadi Mtangi, mkazi wa Maramba, kifungo cha miaka 60 jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa mawili ya kubaka wanafunzi wawili wa kike wenye umri wa miaka 13 na 9. Awali, ilielezwa mahakamani kuwa…