Bahati mbaya ya Inonga ni nyakati, fedha

HENOCK Inonga aliondoka nchini mwaka jana kwenda Morocco kujiunga na AS FAR huku akiwa mchezaji ambaye hakuna klabu ya Tanzania haikutamani kuwa naye. Simba ilimruhusu kishingo upande aende Morocco kwa vile alikuwa mchezaji muhimu katika kikosi chao lakini hata watani zao wa jadi Yanga bila shaka wasingeweza kuchezea fursa ya kutomsajili iwapo angeamua kujiunga nao….

Read More

Hijra ya Mtume tukio muhimu katika Uislam

Dar es Salaam. Kuhama (hijra) ya Mtume (Rehema na amani ziwe juu yake) kutoka Makka kwenda Madina ni miongoni mwa matukio muhimu zaidi katika historia ya Uislamu. Haikuwa tu kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine, bali ilikuwa ni hatua ya mabadiliko makubwa katika safari ya Uislamu na mwanzo wa kuasisiwa kwa Dola ya Kiislamu. Hili…

Read More

Mbowe afunguka kuhusu Dira 2050

Dodoma. Wadau wamepongeza hatua ya ushirikishaji wa rika zote katika maandalizi ya Dira 2050 huku Mwenyekiti wa zamani wa Chadema, Freeman Mbowe akieleza kusikitishwa na sehemu ya dira hiyo. Wadau wametoa maoni yao leo Alhamisi Julai 17, 2025 baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua dira hiyo itakayoanza kutekelezwa Julai Mosi, 2026. Akizungumza nje ya…

Read More

Serikali kununua ndege nne kudhibiti wadudu waharibifu

Morogoro. Katika juhudi za kukabiliana na changamoto ya uharibifu wa mazao na kuimarisha usalama wa chakula nchini, Serikali imepanga kununua ndege nne zitakazotumika kunyunyizia dawa za kuua wadudu waharibifu. Hatua hiyo inalenga kulinda mazao ya wakulima na kuongeza usalama wa chakula kinachozalishwa ndani ya nchi. Akizungumza na Mwananchi leo Alhamisi, Julai 17, 2025, mjini Morogoro,…

Read More

RC Iringa aziagiza Tanroads, Tarura kuhakikisha barabara za Mufindi zinapitika wakati wote

Mufindi. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameagiza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura) kushirikiana na halmashauri zote mkoani humo kuainisha maeneo yote ya uzalishaji mali na kuhakikisha yanajumuishwa katika mipango ya uboreshaji wa miundombinu ya barabara. James amesisitiza kuwa barabara zinazoelekea katika maeneo hayo ni…

Read More