Camara akitoka tu, hawa wanatua

SIMBA ina hesabu kali ya kufumua eneo la kipa na unaweza kusema hakuna aliye salama, mezani kwa mabosi wa klabu hiyo kuna majina ya makipa wawili wanasubiri maamuzi tu, ili kuchukua nafasi ya Moussa Camara, iwapo wataamua kumpiga chini. ‎Camara aliyetua Simba msimu…

Read More

Rudishiwa Hadi TZS 15,000 Ukicheza Win&Go

KUANZIA Julai 1 hadi Julai 30, 2025, Meridianbet imewapa wachezaji wake wa Win&Go dhamana ya kushiriki tena mchezo huo pendwa. Kwa mwezi mzima, ukipoteza Sh. 1,000 ama zaidi kwa siku, kesho Meridianbet itakurudishia 10% ya hasara yako kama Win&Go bonus, hadi kiwango cha juu cha Sh. 15,000 kwa kila siku. Mfano halisi wa namna bonasi hii inavyokua…

Read More

Senegal kuziba nafasi ya Congo Brazzaville mashindano ya CECAFA

Timu ya Taifa ya Senegal itashiriki Mashindano maalum ya CECAFA yatakayo husisha mataifa manne kabla ya mashindano ya CHAN yanayotarajiwa kuchezwa Julai 21-27, 2025 kwenye Uwanja wa Black Rhino, Karatu jijini Arusha. Senegal inachukua nafasi ya Congo Brazaville ambayo imekumbana na changamoto na kushindwa kufanya safari kama ilivyokuwa imepangwa awali. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji…

Read More