Simba yawaita mapema kina Ahoua, Camara

NYOTA wa Simba akiwamo Jean Charles Ahoua, Moussa Camara na wenzao wengine waitwa mapema kambini mwishoni mwa mwezi huu ili kujiandaa na maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026. Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema wachezaji wote wapya na ambao wanatakiwa kuendelea na timu hiyo wote wanatakiwa kurejea mwisho wa mwezi huu. Amesema mpango wao…

Read More

TCB YAAHIDI KUUNGA MKONO DIRA YA MAENDELEO YA 2050 KWA KUIMARISHA HUDUMA ZA KIFEDHA

::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma, huku akieleza malengo makuu ya kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kisasa, jumuishi na wenye ushindani wa kimataifa,Katika hotuba yake, Rais Samia ameeleza kuwa dira hiyo inalenga kufanikisha ongezeko la pato la taifa…

Read More

Mahakama yaainisha yaliyozuiwa Chadema | Mwananchi

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetoa ufafanuzi wa amri ya zuio la kufanya shughuli za kisaisa ndani ya Chadema na kutumia mali za chama hicho mpaka kesi inayokikabili ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali itakapoamuliwa. ‎‎Ufafauzi huo umetolewa na naibu msajili wa mahakama kutokana na maombi yaliyowasilishwa na mawakili wa…

Read More

MKURUGENZI MTENDAJI WA TASAF-UZINDUZI WA DIRA 2050 NI HATUA YA KIMKAKATI KUELEKEA TANZANIA YENYE UCHUMI JUMUISHI

MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Bw. Shedrack Mziray (Katikati) akiwa na Mkurugenzi Mifumo, Tafiti na Mawasiliano wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – (TASAF), Ndg. Japhet Boaz (Kulia) wakionesha Vitabu vya Muongozo wa Dira 205o,mara baada ya Dira hiyo kuzinduliwa leo Julai 17,2025 jijini Dodoma na Rais wa Jamhuri ya Muungano…

Read More

Simba yarusha taulo kwa Tshabalala!

UONGOZI wa klabu ya Simba ni kama umekubali ya ishe juu ya aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ baada ya kukiri kushindwa kumuongezea mkataba mpya. Ipo hivi. Simba kupitia Ofisa Habari, Ahmed Ally amesema uongozi ulianza kufanya mchakato wa mazungumzo kabla ya mkataba kumalizika, lakini hadi sasa makubaliano ya pande zote mbili hayajafikia…

Read More

MSAJILI WA HAZINA ASHIRIKI UZINDUZI DIRA 2050

:::::::::: Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, leo, Julai 17, 2025, ameshiriki uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 uliofanyika jijini Dodoma katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC). Uzinduzi huo umefanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye ametoa wito kwa Watanzania wote kushiriki katika utekelezaji…

Read More

Aucho aigomea Yanga, kuibukia huku!

HAKUNA ubishi mashabiki wa Yanga wanafahamu kuna baadhi ya mashine zilizowapa heshima msimu uliopita kwa kutwaa mataji matano zinaweza kuondoka kwa ajili ya kusukwa upya kwa kikosi kijacho kwa msimu mpya wa mashindano. Hata hivyo, hakuna aliyeliweka akilini jina la Khalid Aucho kutokana na nyota huyo raia wa Uganda kuwa kipenzi cha Wanajangwani na hasa…

Read More