Kiasi gani cha uwekezaji chenye tija?

Watu wengi na hasa wasomaji wa gazeti hili  wamekuwa na uelewa wa mambo kadhaa yanayohusu fedha na uwekezaji. Makala iliyopita iliangazia ni namna gani unavyoweza kukadiria kiasi cha akiba. Kama vile mkulima anavyoweza kukadiria kiasi cha ardhi alime ili apate mavuno anayotarajia kwa msimu wa kilimo, swali la msingi kwenye uwekezaji ni kuwa ni uwekeze…

Read More

THBUB YAKUTANA NA WADAU KUJADILI HAKI ZA WAVUVI WADOGO

  Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekutana na wadau mbalimbali wa sekta ya uvuvi katika mkutano maalum uliofanyika leo Julai 16, 2025, Jijini Dar es Salaam, kujadili haki za wavuvi wadogo wadogo katika upatikanaji na usimamizi wa pamoja wa rasilimali za bahari.  Mkutano huo uliwaleta pamoja wawakilishi kutoka Serikalini , asasi…

Read More

Watoto watatu familia moja wafariki dunia kwa moto

Ruangwa. Watoto watatu wa familia moja wamekutwa wamefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wanaishi kuungua moto. Watoto hao Membe Ndama (7), Mwaru Ndama (2)na Sayi Ndama (1)walikuwa wakiishi na wazazi wao katika Kijiji cha Nambilanje, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John Imori amesema kuwa tukio hilo limetokea jana Jumatano…

Read More

Watendaji wa Uchaguzi wakumbushwa kushirikiana na Wanahabari.

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena Rwebangira amewakumbusha watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Mkoa na Jimbo kushirikiana na Wanahabari ili wananchi waweze kufahamu mambo mbalimbali yahusuyo Uchaguzi. Wito huo ameutoa leo alipokuwa akifunga mafunzo ya siku tatu kwa watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Mkoa na Jimbo yaliyofanyika kwa siku tatu katika Kituo…

Read More

Mbowe atinga uzinduzi wa Dira 2050 Dodoma

Dodoma. Baada ya ukimya wa muda mrefu, hatimaye Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameibukia kwenye uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025-2050. Uzinduzi huo unafanyika leo Alhamisi, Julai 17, 2025 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, ambapo wageni mbalimbali wamehudhuria na mgeni rasmi ni Rais Samia…

Read More

Too Much wababe mashindano ya Ngalawa

NGALAWA ya Too Much imeibuka mshindi wa kwanza katika mbio za ngalawa, kati ya tisa zilizoshiriki mashindano hayo yaliyofanyika Fumba, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. Katika mashindano hayo, nafasi ya pili imekwenda kwa Wape Kazi, huku Ubaya Ubwela ikishika nafasi ya tatu. Utoto Raha imeshika nafasi ya nne, Atoae Mola (5), Mungu Ibariki (6), Msihofu…

Read More

Uhamishaji, umaskini na ukosefu wa usalama unaosababisha unyanyasaji dhidi ya wanawake huko Gaza – maswala ya ulimwengu

Katika miezi mitatu iliyopita, theluthi ya idadi ya watu wa Gaza (watu 714,000) wamelazimishwa kuhama tena, wakitenganisha familia na kuvunja mifumo ya msaada wa ndani. Wanawake na wasichana wanabeba mzigo mzito, wanaogopa maisha yao mitaani – katika maeneo ya kujifungua, na katika makazi yaliyojaa, malazi ambayo hayana faragha na usalama – wengi hulala wazi. “Wanawake…

Read More