Kisa gharama, Pamba nusura ipigwe bei

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amesema wanakabiliwa na changamoto ya gharama kubwa za uendeshaji wa timu ya Pamba Jiji jambo ambalo lilisababisha msimu ulioisha watake kuiuza baada ya kutofanya vizuri. Kibamba alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa katika mkutano na wadau wa michezo ulioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said…

Read More

Danadana soko la Kariakoo, kilio cha wafanyabiashara

Wakati mamlaka za jiji zikisisitiza wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) kuondoka katika barabara zinazozunguka soko la Kariakoo, hali ya sitofahamu inaendelea kuhusu tarehe rasmi ya kufunguliwa kwa soko hilo lililoungua moto mwaka 2021. Soko la Kariakoo limekuwa kwenye ukarabati tangu mwaka 2022, huku serikali ikitumia zaidi ya Sh28 bilioni kwa ukarabati na ujenzi wa soko dogo la…

Read More

Msimamo wa Azam kwa Fei Toto

WAKATI ikielezwa klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ikirudi Azam FC ikiwa na dau ya Dola 350,000 ili kumnasa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’, huku tetesi zingine zikisema kuwa yupo mbioni kurejea Yanga, mabosi wa matajiri hao wameibuka na kutoa msimamo. Mabosi wa klabu hiyo iliyomaliza katika nafasi ya tatu…

Read More

Mfaransa aanika dili la Yanga SC

YANGA ilikuwa na hesabu na makocha wawili raia wa Ufaransa, lakini mmoja amefunguka sababu zilizomfanya kurudi nyuma kukubaliana na dili hilo. Kocha aliyefunguka hayo ni Julien Chevalier ambaye amemaliza msimu akiwa na ASEC Mimosas ya Ivory Coast, ambapo amekiri mbele ya Mwanaspoti kwamba alikuwa na hesabu za kutua Jangwani. Chevalier alisema sio rahisi kuachana na…

Read More

Kurudishwa kwa Afghanistan ni ‘mtihani wa ubinadamu wetu wa pamoja’ – maswala ya ulimwengu

Roza Otunbayeva, mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Afghanistan, alifanya rufaa wakati wa ziara ya mpaka wa Uislam Qala kuvuka na Iran Jumanne ambapo alishuhudia kuongezeka kwa kila siku kwa makumi ya maelfu ya waliorudi. Alikutana pia na familia za kurudi, washirika wa misaada na kikanda de facto viongozi. Kengele za kengele zinapaswa kupigia “Kile…

Read More