TANZANIA, IFRC WAJADILI KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA MASUALA YA KIBINADAMU AFRIKA MASHARIKI

 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. Denis Londo (Mb) amelishukuru Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) kwa mchango wake mkubwa katika kusaidia jamii za Kitanzania, hasa wakati wa majanga na dharura, na akasisitiza umuhimu wa kushirikiana kwa karibu…

Read More

Siwale ajitosa kuomba ridhaa CUF, autaka urais

Mbeya. Mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) kutoka Mkoa wa Songwe, Nkunyutila Siwale, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Zoezi hilo lilifungwa jana, Julai 15, likihitimishwa na wawaniaji wawili kutoka ukanda wa Nyanda za Juu Kusini na hivyo kufikisha jumla ya wagombea sita…

Read More

NACTVET, ENABEL KUSHIRIKIANA KUIMARISHA UBORA WA TVET NCHINI

Katibu Mtendaji wa NACTVET, Dkt. Mwajuma Lingwanda na Mkurugenzi Mkazi wa Enabel nchini Tanzania, Koenraad Goekint wakisaini Makubaliano ya Ushirikiano kwa lengo la kuimarisha ubora katika Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (TVET) yatolewayo nchini. Katibu Mtendaji wa NACTVET, Dkt. Mwajuma Lingwanda na Mkurugenzi Mkazi wa Enabel nchini Tanzania, Koenraad Goekint wakibadilishana hati…

Read More

Waziri Ndumbaro: Wakati wa uchaguzi Serikali haitakuwa likizo

Dodoma. Zimwi la kutoa vibali vya viwanja kwa watu zaidi ya mmoja limezidi kuwaandama maofisa ardhi na sasa wametakiwa kushitakiwa kwa makosa ya utapeli. Mbali na maofisa ardhi, Serikali imeagiza watakaokiuka Sheria katika kipindi cha uchaguzi washitakiwe haraka mahakamani sawa na wanaodhurumu mali za mirathi kwani ni makosa yasiyopaswa kufumbiwa macho. Agizo hilo limetolewa jana…

Read More

betPawa yawalipa washindi wakubwa wa Aviator Afrika kwa malipo ya 2.8 bilioni

Wakati ambapo tasnia ya michezo ya kubashiri duniani inakumbwa na changamoto za uaminifu, uwazi na mageuzi, betPawa imeendelea kuwa kinara kwa kuweka viwango vipya vya mafanikio. Kampuni kubwa zaidi ya ubashiri mtandaoni barani Afrika, betPawa imewalipa na  kuwapongeza na kuwaenzi washindi wao wapya waliovunja rekodi kwenye mchezo wa Aviator, wakitokea Ghana, Cameroon, na Zambia.Tukio hilo…

Read More

UJUMBE WA BENKI YA DUNIA WATEMBELEA ADEM BAGAMOYO KUFUATILIA MAFUNZO YA UTAWALA BORA WA ELIMU

Ujumbe kutoka Benki ya Dunia wakiongozwa na Bi. Gemma Todd wamefika ADEM Bagamoyo kufanya ufuatiliaji wa namna mafunzo ya Utawala Bora wa Elimu kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa yanayoendeshwa kwa Maafisa Elimu Kata nchini yanavyoendeshwa Wataalamu hao pia wamepata fursa ya kufanya kikao Mkakati na Mtendaji Mkuu Dkt. Maulid J. Maulid ambapo wamejadiliana mambo…

Read More