Kishapu yapiga hatua utoaji chakula shuleni

Kishapu. Lishe bora kwa wanafunzi imeendelea kuimarika wilayani Kishapu, Mkoa wa Shinyanga, huku idadi ya shule zinazotoa chakula ikipanda kutoka asilimia 90.5 katika robo ya tatu hadi asilimia 97.6 kwenye robo ya nne ya mwaka wa fedha 2024/2025. Ofisa Lishe wa Wilaya ya Kishapu, Hadija Nchakwi amesema leo Jumatano Julai 16, 2025, kuwa mafanikio hayo…

Read More

Baraza la Usalama linaongeza UNISS ya UN katika mji muhimu wa bandari huku kukiwa na ugomvi wa bahari nyekundu – maswala ya ulimwengu

Iliyopitishwa kwa makubaliano, azimio linaloongeza utume wa UN kusaidia makubaliano ya Hudaydah (Unmha) hadi 28 Januari 2026, inasisitiza jukumu muhimu la misheni katika kudumisha utulivu dhaifu huku kukiwa na dalili za kuongezeka kwa kijeshi na kuongezeka kwa hitaji la kibinadamu. Azimio – 2786 (2025) – inathibitisha msaada wa baraza kwa Makubaliano ya Stockholm ya 2018pamoja…

Read More

Waziri Ndumbaru: Wakati wa uchaguzi Serikali haitakuwa likizo

Dodoma. Zimwi la kutoa vibali vya viwanja kwa watu zaidi ya mmoja limezidi kuwaandama maofisa ardhi na sasa wametakiwa kushitakiwa kwa makosa ya utapeli. Mbali na maofisa ardhi, Serikali imeagiza watakaokiuka Sheria katika kipindi cha uchaguzi washitakiwe haraka mahakamani sawa na wanaodhurumu mali za mirathi kwani ni makosa yasiyopaswa kufumbiwa macho. Agizo hilo limetolewa jana…

Read More

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA YA ‘AIRTEL CHAPAKAZI’ MAALUM KWA WAJASIRIAMALI

Airtel Tanzania leo imezindua rasmi huduma ya Airtel Chapakazi, suluhusho jipya lililoundwa kuchochea ukuaji wa wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo kote nchini. Uzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika Makao makuu ya Airtel Tanzania jijini Dar es Salaam, ulionyesha dhamira ya Airtel katika kukuza maendeleo jumuishi ya kidijitali na kuunga mkono ajenda ya kukuza uchumi wa Tanzania. Airtel…

Read More

Mashahidi wa Jamhuri kesi ya Lissu wadaiwa kutishiwa

‎Dar es Salaam. Mashahidi wa Jamhuri katika kesi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ya kuchapisha taarifa za uwongo mtandaoni, wasio askari Polisi wamedai kutishiwa ili wasitoe ushahidi kwenye kesi hiyo. Madai ya mashahidi hao kutishiwa, ambayo ndio sababu ya Mahakama kutoa amri ya kuwalinda yamebainishwa hadharani mahakamani leo Jumatano…

Read More

Gavana BOT: Miamala ya Kidijitali Yaweka Rekodi Mpya

Na Humphrey Shao GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel Tutuba amesema miamala ya kifedha ya kidigitali imeongezeka zaidi ya milioni 500 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2025/26 ukilinganisha na kipindi cha nyuma. Hayo ameyasema leo jijini Dar es salaam kwenye uzinduzi wa kampuni ya Visa iliyotambulika kama “Visa Day” ambapo imefungua ofisi…

Read More

Sababu Tanzania kuagiza asilimia 60 ya dawa India

Tabora. Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ongezeko la viwanda vya dawa nchini limechangia asilimia 30 ya matumizi ya nchi kupatikana ndani, huku ikitaja sababu ya asilimia 60 ya dawa zinazotumika kununuliwa India. Tanzania imefikia hatua hiyo mwaka 2025 kutoka asilimia 10 hadi 20 mwaka 2020, hivyo kupunguza utegemezi wa uagizaji wa dawa…

Read More