Hatimiliki za ardhi 1,176 zatolewa Sabasaba

Dar es Salaam. Jumla ya hatimiliki 1,176 zimetolewa katika Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yaliyofikia tamati Julai 13, 2025 jijini hapa. Hatimiliki hizo zimetolewa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika maonesho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya “Fahari ya Tanzania”. Akizungumza baada ya kufungwa kwa maonyesho…

Read More

Mogella: Yanga inaizidi Simba hapa

LEGENDARI wa soka nchini aliyewahi kutamba na klabu za Simba na Yanga pamoja na timu ya taifa, Taifa Stars, Zamoyoni Mogella ‘Golden Boy’ ametoa mtazamo akisema ujanja iliyonao Yanga kiasi cha kuizidi Simba ni kitendo cha kusajili wachezaji wenye viwango vya juu, vilivyoipa klabu mafanikio. Mshambuliaji huyo aliyewahi kucheza soka la kulipwa nje ya nchi,…

Read More

Xavi aachiwa msala JKT | Mwanaspoti

KUELEKEA msimu ujao wa mashindano ya Ligi Kuu ya Wanawake, JKT Queens inaendelea kujiimarisha na sasa inadaiwa kumsajili kocha wa timu za vijana za Simba, Mohamed Mrishona ‘Xavi’, akichukua mikoba ya Esther Chabruma ‘Lunyamila’. Licha ya kuipa ubingwa wa Ligi Kuu msimu uliopita, JKT imempa mkono wa kwaheri baada ya kumaliza mkataba na Wanajeshi hao…

Read More

Josiah awapa saluti Lazaro, Ahmad Ally

KOCHA wa Tanzania Prisons, Aman Josiah amewataja makocha waliyofanya vizuri msimu ulioisha ambao ni Ahmad Ally wa JKT Tanzania na wa Coastal Union, Joseph Lazaro, akiwaweka kando wa timu zilizomaliza Top 4 katika msimamo wa Ligi Kuu. Alitoa sababu ya kwa nini Ally ambaye timu ilimaliza nafasi ya sita ikiwa na pointi 36 na Lazaro…

Read More

Arajiga, Hamdani wateuliwa kuchezesha CHAN 2024

Zikiwa zimesalia siku 17 kabla ya kuanza kwa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN), Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limewatangaza rasmi waamuzi watakaochezesha michuano hiyo. Katika orodha hiyo yenye jumla ya majina 75, Tanzania inawakilishwa na Ahmed Arajiga wa Manyara na Ally Hamdani Saidi kutoka…

Read More

Mwalimu adaiwa kujinyonga kisa wivu wa mapenzi

Tanga. Mwalimu Enock Peter (32) wa Shule ya Msingi Potwe wilayani Muheza mkoani Tanga, amedaiwa kujinyonga kwa kutumia shuka nyumbani kwake, huku wivu wa mapenzi ukitajwa kuwa chanzo cha tukio hilo. Akizungumza na Mwananchi kuhusu tukio hilo leo Jumatano Julai 16, 2025, Mratibu Elimu Kata ya Pongwe, Rajabu Msuya amesema alifika shuleni hapo kwa ajili…

Read More

Beki Yanga atimka Simba, wakala athibitisha

WAKATI Yanga ikiwafuatilia kwa ukaribu nyota wanne walioachwa na Simba Queens, Wekundu wa Msimbazi wamemalizana na beki wa pembeni wa Wananchi hao, Asha Omary. Yanga iko kwenye mpango wa kuwasajili Precious Christopher na Wincate Kaari ambao wote wawili waliitumikia Yanga Princess msimu uliopita kabla ya kujiunga na Mnyama, pamoja na Asha Djafar na Riticia Nabbosa….

Read More

Kisa gharama, Pamba nusura iuzwe ipigwe bei

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amesema wanakabiliwa na changamoto ya gharama kubwa za uendeshaji wa timu ya Pamba Jiji jambo ambalo lilisababisha msimu ulioisha watake kuiuza baada ya kutofanya vizuri. Kibamba alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa katika mkutano na wadau wa michezo ulioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said…

Read More

Beki KMC apewa dili miaka mitatu Misri

ALIYEKUWA beki wa KMC, Raheem Shomari amesaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia Ghazl El-Mehalla ya Misri. Akizungumza na Mwanaspoti, beki huyo alisema tayari ameungana na timu hiyo na anaendelea na maandalizi ya msimu mpya ambao unatarajiwa kuanza wiki mbili zijazo. “Ni kweli nimemalizana na timu hiyo na tayari nipo kambini tunaendelea na maandalizi ya msimu…

Read More