Utiririshaji wa maji taka migodi midogo bado changamoto

Dodoma. Wizara ya Maji imesema bado migodi midogo inakabiliwa na changamoto ya utiririshaji wa maji taka na hivyo kusababisha athari kwenye vyanzo vya maji. Hayo yamesema leo Jumatano Julai 16, 2025 na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Diana Kimario wakati akielezea juu ya mkutano wa mwaka wa usalama wa mabwawa utakaofanyika jijini Mwanza kuanzia…

Read More

Wasichana wanaoacha vyuo waongezeka | Mwananchi

Dar es Salaam. Idadi ya wasichana wanaoacha vyuo imeongezeka kwa asilimia 44 kati ya mwaka 2020/21 hadi 2023/24, Ripoti ya wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) 2024 inaeleza. Hali hii inafifisha juhudi za Taifa kufikia usawa wa kijinsia katika elimu, hasa ikizingatiwa elimu ya juu ni nguzo muhimu ya uwezeshaji wa wanawake na maendeleo…

Read More

Mange, Aslay waburuzwa kortini wadaiwa fidia Sh5 bilioni

Dar es Salaam. Mwanaharakati maarufu katika mitandao ya kijamii aishiye Marekani, Mange Kimambi na nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini Isihaka Nassoro maarufu Aslay, wamefunguliwa kesi ya madai kortini, wakidaiwa fidia ya Sh5 bilioni. Aslay pia anajulikana ka majina ya Dogo Aslay au Dingi Mtoto. Mange ni maarufu kwenye mitandao ya Instagram, X (zamani…

Read More

Wahamiaji haramu 719 wakamatwa Geita

Geita. Jeshi la Uhamiaji mkoani Geita limewakamata wahamiaji haramu 719 waliovuka mipaka kwa njia za panya kuanzia Aprili hadi Julai 15, 2025, kinyume na sheria za nchi. Akizungumza leo Jumatano Julai 16, Ofisa Uhamiaji wa mkoa huo, James Mwanjotile amesema idadi hiyo inajumuisha wahamiaji 126 waliokamatwa mwezi huu pekee, katika maeneo mbalimbali ya mjini Geita….

Read More

Lissu aibua mapya mahakamani, askari Magereza lawamani

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amewalalamikia askari Magereza namna wanavyomdhibiti kwa kumnyima fursa ya kuwasiliana na mawakili wake na kumzuia kupewa hata nyaraka. Lissu ameibua malalamiko hayo dhidi ya maofisa hao wa magereza, leo Jumatano, Julai 16, 2025, wakati wa usikilizwaji wa shauri lake la maombi ya…

Read More

Vita ya Zitto, Nondo Kigoma Mjini ‘usipime’

Dar es Salaam. Hatua ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia chama hicho, ni wazi kuwa atamkabili kiongozi wake mstaafu, Zitto Kabwe. Vita ya wawili hao, inafananishwa na ile ya mzazi na mwana, kutokana na kinachoelezwa kuwa, Zitto ni kiongozi, lakini mlezi…

Read More

Ekari 614 za bangi zateketezwa, tisa wakamatwa

Morogoro. Ekari 614 za mashamba ya bangi, kilogramu 3,741.9 za bangi kavu na kilogramu 1,706 za mbegu za bangi zimeteketezwa katika ushoroba ulio kati ya Hifadhi za Taifa za Mikumi na Nyerere. Kuteketezwa kwa mashamba hayo, bangi na mbegu hizo ni matokeo ya operesheni iliyofanyika kwa siku tisa mkoani Morogoro kwa ushirikiano kati ya Mamlaka…

Read More

Rungwe yabuni mkakati kukomesha lumbesa

Rungwe. Kutokana na malalamiko ya wakulima wa viazi mviringo katika vijiji vya Ndato na Isongole wilayani Rungwe wakilalamikia wanunuzi kutumia vifungashio vikubwa vinavyojulikana kama ‘lumbesa,’ Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya imeonya na kuweka mikakati ya kudhibiti tatizo hilo. Miongoni mwa hatua zilizopangwa ni agizo la matumizi ya vifungashio maalumu vyenye ujazo wa kilo…

Read More