KONA YA MALOTO: Karata za urais 2030 CCM, zinachezwa 2025

Mayowe na miluzi ni mingi kuzunguka uteuzi wa wagombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Taarifa za waliokatwa na waliopenya zinatawala mitandao ya kijamii. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, ameshatoa tamko kuwa hakuna ambaye ameshakatwa. Zipo taarifa zinasambaa pia kuhusu waliotangazwa kukatwa, kisha kurejeshwa….

Read More

Rais mstaafu Buhari azikwa, maelefu wajitokeza kumuaga barabarani

Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammadu Buhari, amezikwa jana Jumanne Julai 15, 2025 katika mji wake wa nyumbani wa Daura, Kaskazini-Magharibi mwa Nigeria, ambako maelfu ya watu walijitokeza barabarani kumuaga. Buhari alifariki Jumapili  Julai 13, 2025  akiwa London nchini Uingereza, ambako alikuwa akipatiwa matibabu. Kwa mara ya kwanza alishika madaraka mwaka 1983 katika taifa lenye…

Read More

FYATU MFYATUZI: Kwanini tusiite kaya Chaitan au Tanghasia?

Juzi, katika kupitapita mitaani kutoa tongotongo, si nikachekwa kiasi cha kudhani naanza kuchizika. Kwanza, kituko kilianzia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Bole pale Addis. Baada ya kutua kama kawa, hutoa tongotongo. Hivyo, nilikwenda kwenye ofisi za shirika la njiwa la Ethiopia lenye watumishi wa hovyo sina mfano. Mstuko ndo usipime. Nikiwa nimejipanga mstarini tayari…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Dira, sera mpya ziwe mkombozi

Tumesikia mengi kutoka kwa vyama na wanasiasa hasa wakati huu tukielekea kwenye uchaguzi. Mengine sijui ni sera, mengine dira, kuna mpya na yapo marudio. Wapo wanaofundisha kutokupiga kura bila mabadiliko ya sheria, wengine kwenda nyumbani baada ya kupiga kura, lakini kuna wale wa “Hakuna kulala”, hawa wanasisitiza kuzilinda kura zisiibwe kabla hazijahesabiwa na kutangazwa. Haondoki…

Read More

Mashujaa, JKT Tanzania kwenye rada za kinda la Yanga

TIMU mbili za Jeshi, JKT Tanzania na Mashujaa zinamfuatilia kwa ukaribu kinda wa Yanga, Isack Mtengwa na kama mambo yakienda sawa huenda akaibukia kwenye timu mojawapo. Msimu uliopita nyota huyo aliichezea Wakiso Giants ya Uganda kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Yanga U-20 akiungana na beki mwenzie Shaibu Mtita. Mmoja wa watu wa karibu wa…

Read More

Inonga atemwa rasmi Arabuni | Mwanaspoti

Klabu ya FAR Rabat imemalizana na beki wake Henock Inonga ‘Varane’ baada ya msimu mmoja ndani ya timu hiyo. Inonga aliyetambulishwa ndani ya FAR Rabat Julai 13, 2024, amesitishiwa mkataba, kutokana na ripoti ya kocha Mreno Alexander Santos. Beki huyo wa zamani wa Simba, hakuwa na maisha mazuri ndani ya timu hiyo, akianza kwenye mechi…

Read More