Mwisho wa enzi Profesa Lipumba kuisaka Ikulu

Wakati mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu ukikamilika ndani ya Chama cha Wananchi (CUF), Mwananchi imethibitishiwa kwamba mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba hatogombea tena urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangu kuanza kwa chaguzi katika mfumo wa vyama vingi, Profesa Lipumba amegombea urais mara tano kuanzia mwaka 1995, 2000, 2005, 2010…

Read More

Sabasaba imeisha itumike kama shamba darasa la Nanenane

Wapenzi wa safu hii, napenda kuwasalimia na kuwakaribisha kwenye makala hii ya ushauri. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea na kwa muda mrefu nimekuwa pia mdau mkubwa wa maonesho mbalimbali hapa nchini. Kwa wengi, Maonyesho ya Sabasaba au Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) yanachukuliwa kama maonesho makubwa zaidi nchini Tanzania. Sababu kubwa…

Read More

Samia ashika siri za mawaziri sita

Dar es Salaam. Baraza la Mawaziri chini ya Rais Samia Suluhu Hassan linahitimisha safari yake ya utumishi wa miaka minne, huku likiacha kumbukumbu sita za pekee, ikiwemo teua tengua 15 na kuanza bila ya Makamu wa Rais. Safari ya baraza hilo ilianza Machi 19, 2021, saa chache baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa mkuu wa…

Read More

Ajali ya moto ghorofani Magomeni Kota yaua mtoto

Dar es Salaam. Mtoto mmoja anayekadiriwa kuwa na miaka mitatu hadi minne amefariki dunia kwa ajali ya moto uliotokea kwenye chumba kimojawapo katika ghorofa eneo la Magomeni Kota, Wilaya  ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa Kinondoni, Mrakibu Msaidizi Jacob Chacha amethibitisha kutokea tukio hilo saa 11:17…

Read More

BDL iko juu zaidi ya ligi ya Congo

Nyota wa Savio, Ntibonela Bukeng amekiri Ligi ya mpira wa Kikapu Dar es Salaam (BDL), iko juu zaidi ya ligi ya DR Congo. Bukeng aliliambia Mwanaspoti ubora huo umetokana na ushindani mkubwa unaoonyeshwa na timu zote shiriki. Bukenge ambaye ni raia wa Congo, alitoa ushauri kwa chama cha mchezo huo Dar es Salaam (BD), kuendelea…

Read More

Dodoma Jiji kukaa mezani na Abdi Banda

UONGOZI wa Dodoma Jiji, unaendelea na maboresho ya kikosi na umeanza mchakato wa kuongeza mikataba mipya kwa wachezaji waliomaliza, ikianza na beki wa kati wa timu hiyo, Mtanzania Abdi Banda. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho Januari 15, 2025, akitokea Baroka FC ya Afrika Kusini, alisaini mkataba wa miezi sita na sasa umemalizika rasmi, hivyo…

Read More

Kipa Simba aibukia Mashujaa | Mwanaspoti

BAADA ya Simba Queens kumpa mkono wa kwaheri kipa Gelwa Yona, inaelezwa Mashujaa Queens ipo kwenye hatua nzuri ya kumalizana naye. Gelwa alijiunga na Simba msimu wa 2021/22 akitokea Ruvuma Queens na misimu miwili ya mwanzoni alionyesha kiwango bora. Hata hivyo, baada ya kuongezwa kwa kipa Carolyne Rufaa, Gelwa aliishia kukaa benchi. Chanzo cha kuaminika…

Read More

Simba, Azam zachemka kwa Maxi, ishu nzima ipo hivi

KAMA kuna kitu ambacho mashabiki wa Yanga wanapaswa kukifurahia, basi ni uamuzi uliotolewa juu ya nyota wao, Maxi Nzengeli ambaye amekuwa akifukuziwa na wapinzani wao, Simba na Azam. Ipo hivi; kuna kauli ambayo vigogo wa Maniema ya DR Congo wamewaambia viongozi wa klabu hizo kimyakimya siku chache zilizopita ambayo haijawafurahisha. …

Read More