Kituo cha kibishara Ubungo kitakavyosaidia wazawa

Dar es Salaam. Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa ujenzi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Afrika Mashariki (EACLC) haimaanishi kitakuja kuchukua masoko ya wafanyabiashara wazawa. Hilo linasemwa baada ya kuwapo kwa kauli zinazotolewa na wadau wakidai kituo hicho  huenda kikaua baadhi ya masoko ya ndani, likiwemo lile la Kariakoo kutokana na utendaji kazi wake. Hayo…

Read More

Kinachotarajiwa kujiri leo kesi ya uhaini ya Lissu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatano, Julai 30, 2025 tena anapanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Dar es Salaam, inayoketi Kisutu huku Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) akitarajiwa kutoa hatima uhamishwaji wa kesi hiyo kwenda Mahakama Kuu. Kesi hiyo imefunguliwa mahakamani hapo kwa ajili ya uchunguzi…

Read More

Wanachama 11 wa Chadema waachiwa kwa dhamana Rukwa

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kanda ya Nyasa, Frank Mwakajoka amesema wanachama 11 wa chama hicho walioshikiliwa na Polisi Mkoa wa Rukwa wameachiwa kwa dhamana. Mwakajoka amesema pamoja na wanachama hao kuachiwa, Mbunge wa Nkasi Kaskazini (Chadema), Aida Khenani na aliyekuwa diwani wa Itete, Albeto Kaliko wote walijisalimisha…

Read More

Utunzaji wa amani wa UN unaweza kufanya kazi katika ulimwengu uliovunjika ikiwa kuna utashi wa kisiasa – maswala ya ulimwengu

Jean-Pierre Lacroix wa Secretary na Katibu Mkuu Marta Pobee alielezea baraza hilo juu ya vipaumbele vya kurekebisha shughuli za amani za UN ili kukuza suluhisho za kisiasa. Walisisitiza hitaji la haraka la baraza na ushirika mpana wa UN kushinda mgawanyiko na kuimarisha msaada kwa shughuli za amani kama majukwaa ya kipekee ya kuendeleza diplomasia katika…

Read More

Rais wa Ivory Coast kugombea muhula wa nne

Dar es Salaam. Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara ametangaza kugombea muhula wa nne kwenye kiti cha urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2025. Ouattara mwenye umri wa miaka 83, aliyeiongoza nchi hiyo ya Afrika Magharibi kwa karibu miaka 15 sasa, ametangaza jana Jumanne Julai 29, 2025, ingawa awali alinukuliwa akisema angependa kuachia ngazi….

Read More

Toronto Apenya mchujo Kuwania Ubunge Songea Mjini

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia mchakato wake wa ndani wa uteuzi wa wagombea wa ubunge kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, kimelirudisha jina la Kada wake Amandus Jordan Tembo, maarufu kama Toronto, miongoni mwa majina matano yaliyopitishwa rasmi kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Songea Mjini. Uamuzi huo umetangazwa jana, tarehe 29 Julai 2025,…

Read More

LIVE: Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana leo

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatano, Julai 30, 2025 amefikishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, huku Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) akitarajiwa kutoa hatima uhamishwaji wa kesi hiyo kwenda Mahakama Kuu. Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana Kesi hiyo imefunguliwa…

Read More

LIVE: Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatano, Julai 30, 2025 amefikishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, huku Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) akitarajiwa kutoa hatima uhamishwaji wa kesi hiyo kwenda Mahakama Kuu. Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana Kesi hiyo imefunguliwa…

Read More