Hizi hapa fani zinazopendwa na wengi vyuo vikuu

Dar es Salaam. Wakati dirisha la kuomba udahili kwa wanafunzi wa vyuo vikuu likifunguliwa rasmi, takwimu zinaonyesha fani nne ndiyo zinazopendwa zaidi na wanafunzi. Kwa mujibu wa takwimu mpya za Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) zilizotolewa Mei 2025, takribani asilimia 70 ya wanafunzi waliojiunga na vyuo vikuu mwaka 2024/2025  walichagua masomo ya biashara, elimu, sayansi…

Read More

Mgeja Amvaa Polepole: Amtaja Kama Kunguru Asiyefugika

*Asema Polepole ni sawa na Kunguru hafugiki,ni wa kumuogopa kama Ukoma *Asisitiza atakuwa na ajenda ya siri na hayuko peke yake,yuko na wenzake Na Mwandishi Wetu KADA wa Chama Cha Mapinduzi ambaye amewahi pia kushika nafasi mbalimbali ndani ya Chama hicho Hamis Mgeja ameamua kumtolea uvivu Balozi Humphrey Polepole na kumfananisha na kunguru asiyefugika na…

Read More

Serikali yaifungulia India fursa mpya ya uwekezaji nchini

Dar es Salaam. Serikali imewakaribisha wawekezaji kutoka India kuja kuwekeza katika uongezaji thamani wa mazao yanayopatikana nchini kwani malighafi zinapatikana kwa wingi, hivyo gharama za uzalishaji zitakuwa nafuu kwao. Hayo yamebainishwa leo Julai 15, 2025 jijini Dar es Salaam wakati wa jukwaa la biashara la Tanzania – India lenye lengo la kuwafungulia fursa zinazopatikana Tanzania…

Read More

Wadau walia na mfumo unyamazisha vyuo vikuu katika siasa

Dar es Salaam. Wanazuoni nchini wametaka mabadiliko ya Sheria ya Vyuo Vikuu ili kuruhusu ushiriki huru wa wanazuoni katika kuchagiza mijadala na maendeleo ya demokrasia na elimu ya uchaguzi nchini. Hayo yamejiri katika mahojiano maalumu na Mwananchi kufuatia maoni kuwa taasisi za elimu nchini zimekuwa kimya katika ajenda za demokrasia na uchaguzi tofauti na ilivyozoeleka….

Read More

Ireland kuwashika mkono wasichana fani ya umeme

Dar es Salaam. Kwa kutambua juhudi za Serikali ya Tanzania katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Ubalozi wa Ireland nchini umejitolea kugharamia masomo ya wanafunzi 10 wa kike wanaosomea fani ya umeme ngazi ya stashahada ya uzamili. Mpango huo wa ufadhili unaanza rasmi na dirisha la kupokea maombi kuanzia Julai 15 hadi Septemba…

Read More

ACT Wazalendo yawapa ujumbe Watanzania kuhusu uchaguzi mkuu

Rufiji. Kundi la pili la viongozi wa ACT Wazalendo, limehitimisha ziara ya siku 15 operesheni ya majimaji Oktoba linda kura, huku likitoa ujumbe kwa Watanzania likiwaeleza yaliyojitokeza katika chaguzi za mwaka 2019/20 na 2024 yasiwakatishe tamaa bali wajitokeza kushiriki Uchaguzi Mkuu Katika chaguzi za serikali za mitaa, vitongoji na vijiji wa mwaka 2019 vyama vya…

Read More

Wanafunzi waiomba Serikali iwalinde wanapotoa taarifa vitendo vya ukatili

Iringa. Wanafunzi mkoani Iringa wameiomba Serikali kuwalinda dhidi ya vitisho na madhara wanayoweza kuyapata endapo wataamua kuripoti ukatili wanaofanyiwa majumbani, hasa kutoka kwa wazazi au walezi. ‎Wanafunzi hao wameyaeleza hayo kwa njia ya kuuliza swali Julai 14, 2025 katika mkutano uliohusisha wadau wa usafirishaji, ustawi wa jamii na wanaharakati wa haki za watoto uliofanyika katika…

Read More

Kesi ya uhaini ya Lissu yapelekwa Mahakama Kuu

Dar es Salaam.  Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), ametoa mwelekeo wa hatima ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu kwa kuamua kuipeleka  Mahakama Kuu ili ianze kusikilizwa rasmi. Uamuzi huo umetolewa leo, Jumanne Julai 15, 2025, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakati kesi…

Read More