Mfanyabiashara aliyejiua Moshi azikwa, Kanisa Katoliki likieleza sababu za kumzika

Moshi. Wakati mamia ya waombolezaji wakishiriki maziko ya mfanyabiashara aliyejiua kwa kujinyonga mjini Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, Ronald Malisa (35), Kanisa Katoliki limeeleza sababu za kumzika licha ya taratibu za kanisa hilo kuwa na msimamo mkali wa kutozika waliojiua. Padre Festo Urassa wa Parokia ya Mbokomu, Jimbo Katoliki la Moshi, mkoani Kilimanjaro amesema wamemzika mfanyabiashara…

Read More

Rostam Aziz asimulia mageuzi ya tasnia ya habari Tanzania yalivyoanza

Arusha. Mfanyabiashara na mwekezaji, Rostam Aziz amesimulia safari ya tasnia ya habari nchini Tanzania jinsi alivyoshirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa Serikali kuifanya kukua na kuimarika zaidi. Rostam ametoa simulizi hiyo leo Jumanne, Julai 15, 2025 katikaMkutano wa Mabaraza Huru ya Habari Afrika unaofanyika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) na kufunguliwa…

Read More

Qualifiers Za Festival Malta Zafika Tanzania kutoka Meridianbet

MERIDIANBET Tanzania inasababisha mchezaji wa poker kuwa sehemu ya shindano kubwa la mwaka kupitia qualifiers za Festival Malta 2025 kwenye jukwaa la Playtech Poker. Kuanzia Julai 14 hadi Septemba 8, 2025, qualifiers zinafanyika kila siku kupitia satellites, huku main tournaments zikichezwa kila Jumanne, Ijumaa na Jumapili na kutoa nafasi ya kushinda package kamili yenye thamani ya TZS 5,550,000. Package…

Read More

WAWEKEZAJI BIASHARA YA KABONI WAANZA KUMIMINIKA NCHINI

Mwandishi Wetu, Dar e Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na wadau wa Biashara ya Kaboni kutoka nchini Korea ambao wameonesha nia ya kuja kuwekeza nchini katika biashara hiyo. Kikao hicho kimefanyika Dar es Salaam, Julai 15, 2025 ambapo Waziri…

Read More

Tanzania Yaimarisha Mazingira ya Uwekezaji Kupitia Mageuzi ya Sheria na Vivutio Vipya

SERIKALI imeendelea kuchukua hatua thabiti katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji kwa kuanzisha sera mpya, kuleta mageuzi ya sheria, na kutoa vivutio vya kiuchumi vinavyowezesha ukuaji wa uwekezaji wa ndani na wa kimataifa. Akizungumza katika jongamano la wawekezaji la Tanzania na India liliofanyika jijini Dar es Salaam leo Julai 15, 2025, Naibu Waziri wa…

Read More

UNICEF huomboleza watoto saba waliua foleni kwa maji – maswala ya ulimwengu

Tukio hilo lilitokea katikati mwa Gaza Jumapili, kulingana na ripoti za vyombo vya habari, ambayo ilisema kwamba watu wengine wanne pia walipoteza maisha kwa sababu ya ndege ya Israeli. Jeshi la Israeli lilisema limekuwa likilenga kigaidi lakini “kosa la kiufundi” liliona mabadiliko ya kozi. Kushikilia ulinzi wa watoto UNICEF Mkurugenzi Mtendaji Catherine Russell alibaini kuwa…

Read More

UCHAGUZI MKUU 2025: Mawakala wa fedha mtegoni

Dar/mikoani. Mawakala wa huduma za kifedha mitandaoni wamejikuta mtegoni, baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kuweka wazi mpango wake wa kuwamulika kwa kina kujua iwapo wanatumiwa kusambaza miamala ya rushwa kwa wajumbe. Mpango huo wa Takukuru ni sehemu ya juhudi za kudhibiti vitendo vya rushwa, vinavyodaiwa kufanywa na watiania wa nafasi…

Read More

Takukuru yachunguza malalamiko 11 rushwa dhidi ya watiania wa ubunge CCM Kilimanjaro

Moshi. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, imeeleza kuwa imepokea malalamiko 11 yanayohusu vitendo vya rushwa vinavyodaiwa kufanywa na baadhi ya watiania wa ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani humo. Taarifa hiyo imetolewa leo Jumanne Julai 15, 2025 na Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Kilimanjaro, Musa Chaulo wakati akizungumza…

Read More