Jaji Mwambegele atoa maagizo kwa wasimamizi wa uchaguzi

Morogoro. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele ametoa maagizo kwa wasimamizi wa uchaguzi nchini, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia viwango vya juu vya uwajibikaji na uadilifu katika maandalizi ya uchaguzi. Miongoni mwa maagizo aliyotoa ni kuhakikisha kuwa watendaji watakaoajiriwa katika vituo vya kupigia kura wanakuwa na sifa stahiki, weledi wa…

Read More

TIA kuwapunguzia gharama, safari wanaosaka elimu Zanzibar

Unguja. Wakati Serikali ya Tanzania ikitoa Sh15.9 bilioni kujenga Taasisi ya Uhasibu (TIA) kampasi ya Zanzibar, hatua hiyo imetajwa kuwapunguzia mzigo wanafunzi hususani waliopo kazini kufuata taaluma hiyo nje ya Zanzibar. Hayo yamebainishwa leo Julai 15, 2025 na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania, Profesa William Pallangyo katika maonyesho ya wiki ya elimu…

Read More

INEC yakemea upendeleo kwenye ajira za uchaguzi

Geita. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewaonya waratibu wa uchaguzi wa mikoa, wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi pamoja na maofisa uchaguzi kujiepusha na vitendo vya upendeleo, hususan katika kuwaajiri ndugu, jamaa au watu wasio na sifa katika nafasi za watendaji wa vituo vya kupigia kura. Badala yake, tume imewataka kuhakikisha wanateua watu wenye sifa…

Read More

Mafundi 10 watuhumiwa kwa wizi wa maji Tabora

Tabora. Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia mafundi ujenzi 10 kwa tuhuma za kujiunganishia huduma ya maji kinyume cha sheria. Tukio hilo linatajwa kuwa chanzo cha hasara kwa Mamlaka ya Maji mkoani humo, kutokana na matumizi ya maji bila malipo na bila kufuata taratibu za kisheria. Mafundi hao walikamatwa wakiwa wanaendelea na shughuli za ujenzi…

Read More

Fountain Gate yajipanga upya | Mwanaspoti

BAADA ya Fountain Gate kuponea chupuchupu kushuka daraja, Rais wa klabu hiyo, Japhet Makau amesema msimu ujao wapinzani wao wajipange kwani wanakwenda kufanya mapinduzi mazito. Msimu wa 2024-2025, Fountain Gate ilicheza mechi za mtoano kuwania kubaki Ligi Kuu baada ya kumaliza nafasi ya 14 ikiwa na pointi 29. Katika mechi hizo, ilianza kupoteza kwa jumla…

Read More

Chalamanda, JKT Tanzania kimeeleweka | Mwanaspoti

TAARIFA zinabainisha kuwa, JKT Tanzania imefanikiwa kunasa saini ya kipa wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda kwa kumpatia kandarasi ya miaka miwili. Kagera ambayo haikuwa na msimu mzuri 2024-2025, imeshuka daraja baada ya kumaliza nafasi ya 15, matokeo yaliyoipeleka kikosi hicho kushiriki Ligi ya Championship msimu ujao. Chalamanda ambaye alikuwa kipa namba moja kikosini hapo, ni…

Read More

Mamia ya waombolezaji wafurika kwenye mazishi ya mfanyabiashara aliyejiua Moshi

Moshi. Mamia ya waombolezaji kutoka maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya Mkoa wa Kilimanjaro wamefurika kwenye mazishi ya mfanyabiashara maarufu mjini Moshi na Dodoma, Ronald Malisa (35) aliyejiua kwa kujinyonga nyumbani kwake. Malisa anatarajiwa kuzikwa leo jioni, Julai 15, 2025  nyumbani kwake eneo la Msufuni, Msaranga ambapo tayari shughuli ya kuaga mwili inaendelea nyumbani…

Read More