Prof. Kabudi Aonya Dhidi ya Waandishi Wasio na Press Card

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi amesema yeyote anayefanya kazi za kihabari bila kuwa na Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Press Card) kinachotolewa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB anavunja sheria ya Huduma za Habari. Waziri Kabudi ametoa kauli hiyo huku akionesha Press Card yake kwenye ufunguzi wa…

Read More

Chalamanda, JKT kimeeleweka | Mwanaspoti

TAARIFA zinabainisha kuwa, JKT Tanzania imefanikiwa kunasa saini ya kipa wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda kwa kumpatia kandarasi ya miaka miwili. Kagera ambayo haikuwa na msimu mzuri 2024-2025, imeshuka daraja baada ya kumaliza nafasi ya 15, matokeo yaliyoipeleka kikosi hicho kushiriki Ligi ya Championship msimu ujao. Chalamanda ambaye alikuwa kipa namba moja kikosini hapo, ni…

Read More

Gamondi ashikilia hatma ya Adebayor

KOCHA mpya wa Singida Black Stars, Miguel Angel Gamondi inaelezwa kushikilia hatma ya mshambuliaji wa kimataifa kutoka Niger, Victorien Adebayor, ambaye msimu uliopita hakuonyesha makali zaidi katika kikosi hicho. Kwa mujibu wa taarifa za ndani ambazo Mwanaspoti ilizipata, Gamondi ambaye anatajwa kuwa mbioni kutua nchini kuanza maandalizi ya msimu ujao, amepewa mamlaka kamili ya kufanya…

Read More

Watendaji uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 wafundwa

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza  wakati wa  ufunguzi wa mafunzo kwa watendaji wa Uchaguzi Mkuu yaliyoanza leo Julai 15,2025 Mkoani Morogoro na kuwahusisha Waratibu wa Uchaguzi wa Mikoa,  Maafisa Uchaguzi, Maafisa Uchaguzi wasaidizi ngazi ya Jimbo kutoka mikoa ya Morogoro, Dodoma na Singida. (Picha na…

Read More

Stein, Tausi zafanya kweli BDL

STEIN Warriors na Tausi Royals zimeonyesha makali katika Ligi ya Kikapu Dar es Salaam kwa kuibuka na ushindi katika michezo yao kwenye Uwanja wa Donbosco Upanga, jijini Dar es Salaam. Katika mchezo wa kwanza, Stein iliyopanda daraja mwaka huu, iliichapa DB Oratory kwa pointi 57-47, na kuonyesha kuongeza kiwango kadiri ligi inavyoendelea, huku Kocha wa…

Read More

Nondo achukua fomu ya ubunge, aingia anga za Zitto

Kigoma. Kiongozi wa Ngome ya Vijana Taifa Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Omary Nondo, maarufu Abdul Nondo, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama chake kugombea ubunge Jimbo la Kigoma Mjini katika Uchaguzi Mkuu ujao.Nondo amekabidhiwa fomu hiyo leo, Julai 15, 2025, na Katibu wa chama hicho wa Jimbo la Kigoma Mjini, Idd Adamu.Hii ni mara…

Read More

Wiliam Edgar hajatimiza malengo | Mwanaspoti

NYOTA wa Fountain Gate, Wiliam Edgar amesema pamoja na kufanikiwa kuibakisha timu Ligi Kuu, lakini malengo yake hayakutimia akitoa matumaini yake msimu ujao. Edgar ambaye alikuwa na kiwango bora kikosini hapo akitupia mabao sita, anakumbukwa kwa historia yake ya kuipandisha Mbeya Kwanza kucheza Ligi Kuu Bara 2022-2023 na kinara wa mabao Ligi ya Championship msimu…

Read More