JKT Mgulani waipambania sita bora

KOCHA wa JKT Mgulani, Frank Kisiga amesema kwa sasa wanachokipambania ni kuhakikisha timu yao inamaliza msimu ikiwa nafasi ya sita bora na siyo kushuka daraja. Katika mechi saba timu hiyo imeshinda mbili na kufungwa michezo mitano, jambo ambalo kocha Kisiga alisema walipata muda wa kuyarekebisha makosa, wanaamini wanarejea kwa kishindo. “Kwanza tulikutana na timu ambazo…

Read More

Pazi wanawake kuja kivingine | Mwanaspoti

KOCHA wa Pazi, Karimu Bakari Mbuke amesema mechi zilizosalia dhidi ya Real Dream, UDSM Queens, Twalipo Queens, DB Lioness, Kigamboni Queens na Vijana Queens zipo ndani ya uwezo wao kuhakikisha wanashinda na kutinga hatua ya robo fainali. Mbuke licha ya kukiri Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) msimu huu ni ngumu hasa kwa…

Read More