Serikali yawataka walimu kuepuka mikopo inayodidimiza uchumi wao.

Na Pamela Mollel, Arusha. Serikali imewataka walimu kuepuka kuchukua mikopo kwenye taasisi zisizo rasmi ambazo zimekuwa zikididimiza uchumi wao badala ya kuwasaidia. Pia imewataka kuepuka kuchukua kiwango cha mikopo yenye kushusha hadhi za taaluma yao na kutweza utu wao. Hayo yamesemwa julai 14,2025 na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Karatu, Juma Hokororo wakati akifungua kongamano…

Read More

Bado elimu ya watu wazima haieleweki kwa wengi

Wengi wanaojitambulisha kuwa na uhusiano na elimu hii, hukutana na mshangao na maswali kama Elimu ya Watu Wazima bado ipo?”, “Ni nini hasa Elimu ya Watu Wazima  au  ndiyo hiyo  ngumbaru? Maswali haya kutoka kwa watu mbalimbali na baadhi yao wakiwa na uelewa wa masuala mbalimbali hasa ya elimu, yanaleta tafakuri kuhusu uelewa wa aina…

Read More

Yanga yampa miwili kiungo Mkenya

UONGOZI wa kiungo Lydia Akoth raia wa Kenya, umesema mchezaji huyo amenunuliwa na Yanga Princess baada ya mkataba wa mkopo wa miezi sita kumalizika. Kiungo huyo alisajiliwa dirisha dogo la msimu uliomalizika akitokea Kenya Police Bullets FC ya nchini kwao na sasa ni mchezaji halali wa Yanga Princess kuanzia Agosti Mosi baada ya kusaini mkataba…

Read More

Baresi anukia Tanzania Prisons | Mwanaspoti

LICHA ya Amani Josiah kuiepusha Tanzania Prisons na janga la kushuka daraja msimu wa 2024-2025, inaelezwa mabosi wa timu hiyo wameanza mazungumzo ya kumrejesha aliyekuwa kocha wa kikosi hicho, Abdallah Mohamed ‘Baresi’, ambaye kwa sasa yupo huru. Baresi aliyeifundisha timu hiyo kwa nyakati tofauti, kwa sasa yupo huru tangu alipoachana na Mashujaa FC, Februari 26,…

Read More