Gamondi anataka majembe ya kazi Singida Black Stars

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi anatarajia kuwasili nchini mwisho wa mwezi huu huku akiutaka uongozi wa timu hiyo kumsajilia nyota wenye uzoefu ambao watampa taji na kutoa ushindani kimataifa. Gamondi anarudi nchini kwa mara ya pili baada ya kuinoa Yanga kwa mafanikio na kuondoka Novemba 2024 akikaa kwa takribani msimu mmoja na…

Read More

Simba, MVP Uganda wako mezani

INAELEZWA Simba Queens inaelekea kukamilisha usajili wa winga wa Kampala Queens ya Uganda, Zainah Nandede kwa mkataba wa miaka miwili. Simba Queens ilimaliza nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania msimu uliopita kwa tofauti ya mabao dhidi ya JKT Queens zote zikikusanya pointi 47. Winga huyo aliyeibuka na tuzo ya mchezaji…

Read More

Simba, Nabi kuna kitu | Mwanaspoti

KUNA kitu kilikuwa kinaendelea kati ya kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi na viongozi wa Simba ambacho kimemalizika kwa mmoja wao kununa. Kocha huyo maarufu nchini anayeinoa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini alikuja nchini na mzigo akitaka kununua mashine moja ndani ya Simba. …

Read More

Kesi mbili za Lissu ikiwemo ya uhaini, kunguruma leo Kisutu

Dar es Salaam. Kesi mbili zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, zinatarajiwa kunguruma tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Wakati kesi ya uhaini ikipangwa leo Jumanne Julai 15, 2025 kwa ajili ya kutajwa na Serikali kutoa mrejesho wa hatima ya upelelezi, kesi ya kuchapisha taarifa za uwongo nayo imepangwa…

Read More

Salomon Kalou ataja nondo tatu za Ecua

KAKA wa nyota wa zamani wa Chelsea na Ivory Coast, Salomon Kalou, aitwaye Bonaventure Kalou, ameweka wazi sifa tatu zinazomtofautisha kiungo mpya anayetajwa kujiunga na Yanga SC, Celestin Ecua. Staa huyo inaelezwa amejifunga mkataba wa miaka miwili Jangwani akitokea Zoman FC. Bonaventure, 47, ambaye alicheza soka la kulipwa kwa mafanikio kuanzia Ivory Coast ambako alitamba…

Read More

Mateso ya walimu mikopo umiza usipime

Dar es Salaam. Walimu wastaafu na waliopo kazini wamebainika kuwa waathirika wakuu wa mikopo umiza inayotolewa na taasisi za kifedha zisizosajiliwa, zenye riba kubwa isiyoeleweka, huku wengi wao wakikopeshwa bila hata kuwa na mkataba halali. Baadhi ya walimu hao wamejikuta wakikatwa fedha katika mishahara yao kwa miaka mingi bila hata kufahamu deni lililobaki, huku wengine…

Read More

Wanafunzi  Udom wanavyolipiana ada | Mwananchi

Dodoma. Licha ya jitihada za Serikali kuhakikisha wanafunzi wote waliodahiliwa kujiunga na elimu ya juu wanapata mikopo, bado wengine wameshindwa kunufaika na utaratibu huo na kukatisha ndoto zao. Hatua hiyo, imeifanya Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOSO), kubuni namna ya kuanza kusaidia kukabiliana na changamoto ya baadhi ya wanafunzi kukosa ada na…

Read More

Twiga Stars yaaga WAFCON ikipoteza 4-1 dhidi ya Ghana

Twiga Stars imeondolewa kwenye mashindano ya WAFCON 2024 yanayoendelea huko Morocco baada ya kupoteza mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Ghana kwa mabao 4-1. Bao la Twiga limefungwa na Stumai Abdallah huku mabao ya Ghana yakifungwa na Pricella Adubea, Alice Kusi, Evelyn Badu na Chantelle Boye. Katika mchezo huo Twiga ilitakiwa kupata…

Read More

MO: Tutasajili kimkakati, fedha zipo

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ amesema  klabu hiyo itarudi kwa nguvu msimu ujao, huku akitangaza maboresho maeneo mbalimbali. MO amesema hayo usiku huu wakati akizungumza kupitia akaunti yake Instagram. Amesema Simba itarejea na nguvu kubwa msimu ujao akiahidi kufanya maboresho kuanzia usajili utakaokuwa wa kimkakati. …

Read More