Polepole na matumizi batili ya uwanja wa mapambano

Mbinu 36 za Kushinda Mapambano, yaani Thirty-Six Stratagems, zilizochorwa Karne ya Tano kama ramani ya vita na Jenerali wa China ya Kale upande wa Kusini, Wang Jingze na kuwekwa kwenye Kitabu cha Qi (Book of Qi), nazitumia kujenga muktadha. Lengo ni kuunda picha pana dhidi ya vuguvugu la ‘uasi’ CCM na matokeo yanayotarajiwa. Kutoka sauti…

Read More

Majimbo haya ‘kitaumana’ kura za maoni CCM

Dar es Salaam. Kwa majimbo haya, joto lake ni asilimia 100. Hivi ndivyo unavyoweza kubashiri haraka. Ni majimbo ambayo vigogo wanakwenda kuchuana katika mchakato wa kura za maoni za Chama cha Mapinduzi (CCM) zitakazofanyika Agosti 4, 2025. Wakati kukiwa na mchuano huo, baadhi ya majimbo wagombea wake watakuwa hawana kibarua kigumu kutokana na wagombea wake…

Read More

Kinachotarajiwa kujiri leo kesi ya uhaini wa Lissu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatano, Julai 30, 2025 tena anapanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Dar es Salaam, inayoketi Kisutu huku Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) akitarajiwa kutoa hatima uhamishwaji wa kesi hiyo kwenda Mahakama Kuu. Kesi hiyo imefunguliwa mahakamani hapo kwa ajili ya uchunguzi…

Read More

Robo fainali BDL moto | Mwanaspoti

Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imefikia patamu kutokana na timu kupambana kusaka nafasi ya kucheza hatua ya robo fainali. Ukiondoa timu za Dar City yenye pointi 24, Pazi 22, Stein Warriors 21 na JKT 21 zilizojiweka katika mazingira mazuri ya kucheza hatua hiyo, timu zinazopambana kutafuta nafasi nne za kucheza robo…

Read More

Vijana Queens ilivyojibeba WBDL | Mwanaspoti

Uzoefu wa Vijana Queens kwenye Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam kwa wanawake (WBDL), ndiyo ulioibeba katika mchezo wake na Ukonga Queens. Katika mchezo huo uliopigwa Donbosco, Upanga, timu ya Vijana Queens ilishinda kwa pointi 59-47 ikiwatumia wachezaji iliowapandisha kutoka kikosi cha pili cha City Queens ambapo ilianza kuongoza katika robo ya kwanza…

Read More

Simba Queens yasajili kipa Mganda

SIMBA Queens inaendelea kushusha vyuma kimyakimya kwa ajili ya msimu mpya wa mashindano ya Ligi Kuu na inaelezwa imemalizana na kipa Mganda Ruth Aturo. Simba Queens iliwapa mkono wa kwaheri makipa wawili Carolyne Rufaa, aliyekuwa nje ya uwanja kwa msimu mzima akiuguza majeraha na Gelwa Yona. Klabu hiyo inaendelea na Janet Shija na Winfrida Ceda….

Read More

Simba yafanya umafia Kenya | Mwanaspoti

SIMBA wameonyesha ukubwa wao kwa mara nyingine. Kuna jambo ambalo wamefanya kwenye kambi ya timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars ambalo limemtibua Kocha Benni McCarthy. Ni jinsi walivyoufanya kibabe usajili wa mshambuliaji wao mpya, Mohammed Bajaber na kuumaliza kwa haraka bila kumpa hata nafasi ya kumeza mate. Simba imeendelea kuboresha kikosi chake kwa kusajili…

Read More

Kocha Yanga aleta balaa jipya!

WAKATI Yanga ikiendelea na mchakato wa kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026,kuna mafundi sita wameshushwa kuunda benchi jipya la ufundi litakaloongozwa na Mfaransa, Romain Folz. Folz ambaye amekuwa mtu wa kwanza kutambulishwa katika benchi hilo akichukua nafasi ya Miloud Hamdi, ana kazi kubwa ya kuhakikisha msimu ujao timu hiyo inafika hatua ya makundi…

Read More

WAZIRI KOMBO AWAHAMASISHA VIJANA WA TANZANIA KUCHOCHEA MABADILIKO YA MIFUMO YA CHAKULA DUNIANI

::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na vijana viongozi kutoka Tanzania wanaoshiriki katika mageuzi ya mifumo ya chakula kupitia mradi wa Global Alliance for Improved Nutrition (GAIN) chini ya kampeni ya Vijana4Food. Mazungumzo hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano wa Pili wa Mfumo wa…

Read More