
Wataalamu wakutana Mbeya kujadili chakula, maji na nishati
Mbeya. Wataalamu kutoka mataifa tisa wamekutana jijini Mbeya katika kongamano la kujadili changamoto zinazozikabili sekta za maji, chakula na nishati na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Kongamano hilo la siku tatu, limeandaliwa na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), linashirikisha nchi za Israel, Marekani, Kenya, Uganda, Morocco, Zambia, Ethiopia, Malawi na Tanzania ambao…