Polisi Lindi wamkamata Zitto, aachiwa

Lindi. Jeshi la Polisi Mkoa Lindi, limemuachia Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe baada ya kumkamata kwa muda kwa tuhuma za kutoa taarifa za vitisho katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika Tunduru mkoani Ruvuma. Usiku wa kuamkia leo Jumatatu Julai 14, 2025 polisi takribani watano walimkamata Zitto katika hoteli aliyofikia Wilaya…

Read More

Hersi ataja mambo matatu usajili mpya Yanga

RAIS wa Yanga, Hersi Said amesema wana mambo matatu magumu kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa ambayo wanatakiwa kuyazingatia ili kufikia mafanikio msimu ujao. Hersi amefunguka hayo alipozungumza na Mwanaspoti ambapo amesema jambo la kwanza ni kusajili nyota wenye uzoefu mkubwa, pili kuwa na benchi la ufundi bora ambalo litaendana na ubora wa wachezaji…

Read More

Makocha wamjaza upepo Ngushi, aitaja Simba SC

STRAIKA wa Mashujaa, Chrispin Ngushi amesema anajivunia kuendelea kuaminiwa na makocha katika timu alizopita kwa kumpa nafasi kuonyesha uwezo wake, huku akiitaja mechi dhidi ya Simba kumpa ugumu. Ngushi ambaye aling’ara akiwa na Mbeya Kwanza aliyoipandisha Ligi Kuu msimu wa 2021-2022, baadaye alijiunga na Yanga kwa msimu mmoja kisha kupelekwa Coastal Union kwa mkopo na…

Read More

Burkina Faso yataja 25 kuivaa Stars CHAN

JOTO la fainali za michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), linazidi kupanda taratibu ambapo Burkina Faso imetaja wachezaji 25 watakaoshiriki kwenye fainali hizo. Burkina Faso ambayo itacheza mchezo wa kwanza wa ufunguzi dhidi ya wenyeji Tanzania, Agosti 2 mwaka huu ukiwa ni wa kundi B, kwenye kikosi chake imewajumuisha makipa…

Read More

Wanachama CWT wataka kibali cha kuwashtaki viongozi

Dodoma. Wanachama watatu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamefungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, wakiomba kibali cha kufungua shauri la jinai kwa walalamikiwa wanne wakiwamo viongozi chama hicho. Mbali na hilo, Mahakama hiyo imetoa siku 14 kwa walalamikiwa kujibu hoja kabla ya kutoa uamuzi wa kama shauri hilo lifunguliwe au la. Waliofungua…

Read More

Polisi Lindi wamkamata Zitto, achiwa

Lindi. Jeshi la Polisi Mkoa Lindi, limemuachia Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe baada ya kumkamata kwa muda kwa tuhuma za kutoa taarifa za vitisho katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika Tunduru mkoani Ruvuma. Usiku wa kuamkia leo Jumatatu Julai 14, 2025 polisi takribani watano walimkamata Zitto katika hoteli aliyofikia Wilaya…

Read More

Usafi waendelea Soko la Mashine lililoungua, Chadema watoa pole

‎Iringa. Soko la Mashine Tatu lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, limeanza kufanyiwa usafi baada ya kuungua Julai 12,2025  huku Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Iringa, Frank Nyalusi akitembelea waathirika. Nyalusi ametembelea eneo hilo na kutoa pole kwa waathirika na wakazi wa jirani walioguswa na athari za moto huo. ‎Nyalusi…

Read More

Mvuvi afariki dunia akivua samaki Bahari ya Hindi

Lindi. Abdallah Mwenda (70) mkazi wa Mchinga Manispaa ya Lindi amekutwa amefariki kando ya fukwe ya Bahari ya  Hindi baada ya kutorudi nyumbani kwao tangu Julai 13,2025 alipokwenda kuvua samaki. Taarifa ya Jeshi la Polisi iliyotolewa leo Jumatatu Julai 14,2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John Imori imeeleza kuwa Mwenda alikwenda kuvua samaki…

Read More