Wasira: Amani ienziwe, si hewa ipatikanayo bila kulipiwa

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema suala la amani ya Tanzania lisichukuliwe kama hewa inayopatikana bila kulipiwa chochote, bali ni mipango na uzalendo wa viongozi ambao unapaswa kuendelezwa. Amehimiza Watanzania wakiongozwa na viongozi wa dini kuendelea kudumisha misingi iliyosimamisha amani iliyowekwa na waasisi wa Taifa. Wasira ameyasema…

Read More

Buku Moja Tuu, Yamfanya Derick Bingwa

MERIDIANBET imepata bingwa mkali kabisa wa kubashiri ambapo mshindi huyo ameweza kujishindia Zaidi ya Milioni 5 kwenye mechi zake ambazo ameweza kubashiri. ODDS za kibabe zipo hapa. Mshindi huyo anafahamika kwa jina la Derick Ikula ameweza kujishindi Milioni 5 na zaidi ndani ya Meridianbet kwa dau la elfu moja pekee. Kijana huyu amefurahia sana ushindi…

Read More

MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MKEWE KILOSA

Farida Mangube, Morogoro JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia James Lugembe (55), mkazi wa Kitongoji cha Manzese B, Kata ya Mkwatani, Wilaya ya Kilosa, kwa tuhuma za kumuua mke wake, Restuta Walela (50), kwa kumkata kwa kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

Kivumbi cha mbio za magari kipo Morogoro

KLABU ya Mount Uluguru ya Morogero imefungua rasmi daftari la usajli kwa washiriki wa raundi ya tatu ya mbio za magari ubingwa wa taifa ukiwa ni mwezi mmoja kabla ya mbio hizi kutimua vumbi katikati ya mwezi Agosti. Mwenyekiti wa klabu, Gwakisa Mahigi alitangaza rasmi kufungua daftari la usajili katika mkutano na waandishi wa habari…

Read More