Rogath Akhwari ajitosa urais RT

HOMA ya uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) imezidi kupanda, huku zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kufungwa kwa zoezi la uchukuaji na urudishwaji wa fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya shirikisho hilo. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Agosti 16 mwaka huu jijini Mwanza na nafasi zinazowaniwa ni Rais wa RT…

Read More

Upande mwingine hatari kwa teksi mtandao

Dar es Salaam. Ingawa usafiri wa teksi mtandao unaonekana kuwa mkombozi kwa wengi kutokana na urahisi wa kupatikana kwake hususan maeneo ya mijini, kwa upande mwingine yapo mazingira yanayoweka hatarini usalama wa abiria. Hatari ya usalama huo, inatokana na mienendo ya baadhi ya madereva kutumia akaunti zisizo zao kutoa huduma hiyo, hivyo kushindwa kupatikana iwapo…

Read More

KESI YA MAUAJI YA MUUZA MADINI MTWARA: Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa – 15

Dar es Salaam. Leo katika mwendelezo wa mapitio ya hukumu ya kesi ya mauaji iliyokuwa ikiwakabili maofisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, Mahakama inahitimisha uchambuzi kuhusu hatia kwa waliohusika kutekeleza mauaji hayo. Washtakiwa katika kesi hiyo ni Gilbert Sostenes Kalanje aliyekuwa Mrakibu wa Polisi na Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Mtwara, Charles…

Read More

KESI YA MAUAJI YA MUUZA MADINI MTWARA: Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa – 15

Dar es Salaam. Leo katika mwendelezo wa mapitio ya hukumu ya kesi ya mauaji iliyokuwa ikiwakabili maofisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, Mahakama inahitimisha uchambuzi kuhusu hatia kwa waliohusika kutekeleza mauaji hayo. Washtakiwa katika kesi hiyo ni Gilbert Sostenes Kalanje aliyekuwa Mrakibu wa Polisi na Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Mtwara, Charles…

Read More

mwenge – Global Publishers

Washiriki wa Msafara wa Twende Butiama 2025 wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuhitimisha safari yao wilayani Butiama mkoa wa Mara eneo ambalo amezikwa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Msafara huu umefadhiliwa na Vodacom Tanzania Plc kwa kushirikiana na benki ya Stanbic Tanzania, ulipita katika mikoa 11 baada…

Read More

Kumradhi Nehemiah Mchechu | Mwananchi

Kampuni ya Mwananchi Communications Limited, wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen, na Mwanaspoti, inaomba radhi kwa Nehemiah Kyando Mchechu kutokana na makala iliyochapishwa katika toleo Na. 4551 la gazeti la The Citizen Ijumaa la Machi 23, 2018. Tunakiri kuwa habari hiyo ilikuwa na tuhuma ambazo zimebainika kuwa za kudhalilisha dhidi ya Mchechu na ilikuwa…

Read More