Sh7.06 bilioni zaingizwa Sabasaba, Majaliwa aacha maagizo

Dar es Salaam. Wakati biashara ya zaidi ya Sh7.06 bilioni ikifanyika katika maonyesho ya Sabasaba yaliyofikia tamati, Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa maagizo saba ambayo yanalenga kuboresha ukuaji wa biashara nchini. Majaliwa alitoa maagizo hayo jana Julai 13, 2025 wakati akifunga maonyesho hayo ya 49 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam…

Read More

Paul Biya wa Cameroon kugombea urais muhula wa nane

Dar es Salaam. Rais wa Cameroon, Paul Biya amesema atagombea muhula wa nane wa uongozi katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 12, 2025. Biya mwenye umri wa miaka 92, ndiye Rais mwenye umri mkubwa zaidi duniani na anaweza kusalia madarakani hadi atakapofikisha miaka 100 iwapo atashinda uchaguzi huo. Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X (zamani Twitter),…

Read More

Nyama za pua; ugonjwa unaoharibu ustawi, ujifunzaji wa mtoto

Dar es Salaam. Kwenye kaya nyingi za Kitanzania, mtoto asiyependa kula, anayekoroma usiku, anayesumbuliwa na mafua au mafindofindo ‘tonsils’ mara kwa mara au anayelala mdomo wazi haonekani kama ana tatizo kubwa. Hata hivyo, nyuma ya dalili hizi kuna hali ya kimya lakini yenye madhara makubwa kwa ‘Enlarged adenoids’ maarufu kama nyama za pua. Wataalamu wa…

Read More

Kesi wanachuo wanaodaiwa kumjeruhi mwenzao kutajwa leo

Dar es Salaam. Kesi ya kusababisha madhara mwilini inayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, itatajwa leo Jumatatu Julai 14, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mary na wanafunzi wenzake  wanakabiliwa na mashitaka tisa, likiwemo la kutishia kuua, kutoa taarifa za uongo mitandaoni na uharibifu…

Read More

Sibayon kupishana na Mukwala Simba

Simba inapambana kuhakikisha inampata mshambuliaji aliyeachwa na Mamelodi Thabang Sibanyon kama itamuuza staa wake, Steven Mukwala. Hiki ni kipindi cha usajili kwa mastaa wa Ligi Kuu Bara ambapo dirisha lilifunguliwa Julai Mosi na litafungwa Septemba 07 mwaka huu. Simba tayari imeshaachana na wachezaji…

Read More

WAZIRI MKUU AIAGIZA TANTRADE KUFANYA TAFITI YA MASOKO NDANI NA NJE YA NCHI

……….. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) kuendeleza juhudi za kutafuta masoko ya nje ili kuongeza mauzo yatakayowezesha nchi kupata fedha za Kigeni. Amesema kuwa TanTrade inapaswa kufanya tafiti za uhakika na uchambuzi wa masoko ambayo bidhaa za Tanzania zinaweza kuuzwa na kutoa taarifa hizo kwa wafanyabiashara kote nchini….

Read More

Sabri Kondo atesti zali Sweden

INAELEZWA kiungo kinda wa Singida Black Stars, aliyekuwa kwa mkopo Coastal Union, Sabri Kondo anafanya majaribio na Sirius ya nchini Sweden. Kiungo huyo aliwahi kukipiga KVZ ya Zanzibar kabla ya kusajiliwa na Singida Black Stars mwaka 2024, na baadaye kutolewa kwa mkopo kwenda Coastal. Chanzo kiliiambia Mwanaspoti kuwa kinda huyo yupo nchini humo kwa takribani…

Read More

Simchimba anukia Singida Black Stars

KLABU ya Singida Black Stars iko katika mazungumzo ya kuipata saini ya mshambuliaji wa Geita Gold, Andrew Simchimba kwa ajili ya msimu ujao, hivyo kuingia vitani moja kwa moja na Dodoma Jiji ambayo awali ilikuwa ni ya kwanza kumuhitaji pia. Dodoma Jiji ilikuwa ya kwanza kumuhitaji mshambuliaji huyo, ikiamini atakuwa mbadala sahihi wa aliyekuwa mfungaji…

Read More

Hii hapa njia ya Twiga Stars WAFCON

TIMU ya taifa ya soka ya wanawake, Twiga Stars leo inahitaji ushindi wa pointi tatu dhidi ya Ghana ili kufuzu robo fainali ya Fainali ya Mataifa ya Afrika (WAFCON) yanayoendelea Morocco. Mechi hiyo ya mwisho ya Kundi C itapigwa kwenye Uwanja wa Manispaa ya Berkane na Tanzania inahitaji ushindi tu ili ifuzu na kuandika historia…

Read More