Simba yateua watano kamati ya usajili

UONGOZI wa klabu ya Simba umeteua majina matano yatakayounda kamati mpya ya usajili ya timu hiyo ambayo ipo sokoni kusajili nyota watakaoibeba msimu ujao. Kamati hiyo awali ilikuwa na Crecensius Magori, Mulamu Nghambi, Kassim Dewii na Sued Mkwabi ambao waliteuliwa kusimamia usajili mapema msimu ulioisha. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Mwili wa Elias Goroi waagwa, kuzikwa kesho Samunge

Arusha. Wakuu watatu wa wilaya wastaafu wameungana na wakazi wa Wilaya ya Arumeru na maeneo jirani kuuga mwili wa aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya mbalimbali nchini, Elias Goroi aliyefariki dunia Julai 8,2025 katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre alikokuwa akipatiwa matibabu. Akizungumza kwa niaba ya wastaafu wenzake, Lembis Kipuyo alimwelezea marehemu Goroi alikua mchapakazi…

Read More

Nimca kuwatunuku tuzo Mwinyi, Nyerere

Dar es Salaam. Mtandao wa Mabaraza Huru ya Habari Afrika (Nimca) unatarajia kuwatunuku tuzo maalumu marais wastaafu wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere na Ali Hassan Mwinyi kwa mchango wao katika kukuza tasnia ya habari kusini mwa Afrika. Tuzo hizo zitatolewa katika mkutano mkuu wa Nimca utakaoanza kesho Julai 14 hadi 17, 2025 jijini Arusha ukitarajiwa…

Read More

Rais wa zamani Nigeria afariki dunia

Lagos, Nigeria.  Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammed Buhari, amefariki dunia leo Julai 13, 2025 wakati akipatiwa matibabu jijini London. Buhari aliyeiongoza Nigeria mara mbili kama mkuu wa jeshi na rais amefariki akiwa na umri wa miaka 82, Shirika la Habari la AP limemnukuu katibu wake wa habari, Bashir Ahmad leo Jumapili. Kupitia akaunti yake…

Read More

Wafanyabiashara waliounguliwa soko Iringa waiangukia Serikali

‎Iringa. Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu katika Manispaa ya Iringa, ambao mali zao ziliungua usiku wa kuamkia Julai 12, 2025 wameiomba Serikali iwasaidie warejee kwenye shughuli zao za kiuchumi baada ya kupoteza kila kitu katika janga hilo. Mwananchi Digital ambayo leo imefika sokoni hapo iliwakuta wafanyabiashara hao wakichambua mabaki ya sehemu y mali zao…

Read More

Wafanyabiashara waliounguliwa soko Iringa waiangukia Serikali

‎Iringa. Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu katika Manispaa ya Iringa, ambao mali zao ziliungua usiku wa kuamkia Julai 12, 2025 wameiomba Serikali iwasaidie warejee kwenye shughuli zao za kiuchumi baada ya kupoteza kila kitu katika janga hilo. Mwananchi Digital ambayo leo imefika sokoni hapo iliwakuta wafanyabiashara hao wakichambua mabaki ya sehemu y mali zao…

Read More

Wafanyabiashara waliounguliwa soko Iringa waiangukia Serikali

‎Iringa. Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu katika Manispaa ya Iringa, ambao mali zao ziliungua usiku wa kuamkia Julai 12, 2025 wameiomba Serikali iwasaidie warejee kwenye shughuli zao za kiuchumi baada ya kupoteza kila kitu katika janga hilo. Mwananchi Digital ambayo leo imefika sokoni hapo iliwakuta wafanyabiashara hao wakichambua mabaki ya sehemu y mali zao…

Read More

Majambazi Kigoma ‘wambipu’ Sirro, wateka basi la abiria

Kigoma. Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha, wamewapora na kuwajeruhi baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kutoka Kigoma kwenda jijini Mwanza. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Jumapili, Julai 13, 2025 eneo la Kibaoni karibu na Kambi ya Wakimbizi ya Nduta Kibondo. Hata hivyo, Mwananchi ilimtafuta, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Filemon…

Read More

Polepole alivyojiuzulu ubalozi, CCM yatia neno

Dar es Salaam. Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole amemwandikia barua Rais Samia Suluhu Hassan ya kujiuzulu nafasi hiyo kwa sababu ya kile alichoeleza ni kusikitishwa na mwelekeo wa uongozi usiojielekeza katika kusimamia haki, amani na kuheshimu watu. Katika barua hiyo aliyoiweka kwenye ukurasa wake wa Instagram leo Jumapili, Julai 13, 2025, yenye kichwa…

Read More